huko kwenu vipi
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 1,519
- 1,462
Habarini wanajamvi...
Hivi ukiwa nje ya mfumo wa siasa ya chama cha mapinduzi huwezi ku-run maisha yako binafsi?
Hivi kwenda chama chochote si ni haki ya kidemokrasi??
Kutoka chama Fulani kwenda chama kingine,si ni haki yako kidemokrasia?
Kutoka ccm kwenda chadema,ukatoka chadema kwenda CUF,na ukitaka kutoka CuF kwenda CCM tena ni lazima uombe radhi? si ni haki yako kidemokrasi kwann uombe radhi?? huoni unajidhalilisha??
Hii inanikumbusha kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,aliyewahi kusema sina pakushika,nimekosa mm nimekosa mm nimekosa sana hivi watanzania nani katuloga???
Unaomba radhi ili iweje?
Hawa wote wanaoomba radhi kwa Magufuli,wote Magufuli atawaweka wapi??
#Fredy_mpendazoe siku hizi mbona simsikii? baada ya kuona hapewi nafasi ameamua kukaa kimya??
#Jerry_muro nae ameamua kukaa kimya??
#Mosses_Machali nae amekaa kimya??
#Yule_wa_Baki_madarakani nae ameamua kukaa kimya?
Kwann tunajipendekeza kiasi hiki? hivi mbona wazazi wetu hawajasoma na hawajajiriwa popote pale na wana-run maisha yao vizuri tu?????
Vijana tunashindwa kuendesha maisha yetu tukiwa nje ya mfumo wa siasa cha chama cha mapinduzi???
Unahisi baada ya wewe kukihama chama uliwaumiza wanachama? sidhani kma waliumia kiasi hicho kuomba radhi unajidhalilisha tu wala hakuna mwenye time na wewe!
Hivi ukiomba radhi then uongozi wa chama ukakaa kimya wasikujibu utajisikiaje???
Watanzania Mungu atusaidie....
Hivi ukiwa nje ya mfumo wa siasa ya chama cha mapinduzi huwezi ku-run maisha yako binafsi?
Hivi kwenda chama chochote si ni haki ya kidemokrasi??
Kutoka chama Fulani kwenda chama kingine,si ni haki yako kidemokrasia?
Kutoka ccm kwenda chadema,ukatoka chadema kwenda CUF,na ukitaka kutoka CuF kwenda CCM tena ni lazima uombe radhi? si ni haki yako kidemokrasi kwann uombe radhi?? huoni unajidhalilisha??
Hii inanikumbusha kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,aliyewahi kusema sina pakushika,nimekosa mm nimekosa mm nimekosa sana hivi watanzania nani katuloga???
Unaomba radhi ili iweje?
Hawa wote wanaoomba radhi kwa Magufuli,wote Magufuli atawaweka wapi??
#Fredy_mpendazoe siku hizi mbona simsikii? baada ya kuona hapewi nafasi ameamua kukaa kimya??
#Jerry_muro nae ameamua kukaa kimya??
#Mosses_Machali nae amekaa kimya??
#Yule_wa_Baki_madarakani nae ameamua kukaa kimya?
Kwann tunajipendekeza kiasi hiki? hivi mbona wazazi wetu hawajasoma na hawajajiriwa popote pale na wana-run maisha yao vizuri tu?????
Vijana tunashindwa kuendesha maisha yetu tukiwa nje ya mfumo wa siasa cha chama cha mapinduzi???
Unahisi baada ya wewe kukihama chama uliwaumiza wanachama? sidhani kma waliumia kiasi hicho kuomba radhi unajidhalilisha tu wala hakuna mwenye time na wewe!
Hivi ukiomba radhi then uongozi wa chama ukakaa kimya wasikujibu utajisikiaje???
Watanzania Mungu atusaidie....