Naomba kuuliza Kama UKAWA Bado Wana ushirika na CUF Kama hawana ni kwa Nini kwani huo umoja ulikuwa Ni na CUF au na maalimu Seif? Kama ulikuwa wa vyama inabidi UKAWA waendelee kuitambua CUF Kama mshirika wao
wewe ni NZI WA KIJANI, ya UKAWA yanakuhusu nini?Naomba kuuliza Kama UKAWA Bado Wana ushirika na CUF Kama hawana ni kwa Nini kwani huo umoja ulikuwa Ni na CUF au na maalimu Seif? Kama ulikuwa wa vyama inabidi UKAWA waendelee kuitambua CUF Kama mshirika wao
kama imekufa mbona mlimpiga lissu risasi, hela zote hazina mmenunulia wabungw wao, mnahangaika kuzima bunge, mnahangaika kukataza mikutano wakati nyie mnafanya,Ukawa imekufa kifo cha kijinga sana....
Dikteta Mbowe kubadili gia angani kumeiua Ukawa..
Hakuna ushirikiano kwa vile cuf ya sasa ni mali ya ccm kupitia kwa mawakala wafuataoNaomba kuuliza Kama UKAWA Bado Wana ushirika na CUF Kama hawana ni kwa Nini kwani huo umoja ulikuwa Ni na CUF au na maalimu Seif? Kama ulikuwa wa vyama inabidi UKAWA waendelee kuitambua CUF Kama mshirika wao
Washirikiane au wasishirikiane, wewe inakuhusu nini? Kilangila.Naomba kuuliza Kama UKAWA Bado Wana ushirika na CUF Kama hawana ni kwa Nini kwani huo umoja ulikuwa Ni na CUF au na maalimu Seif? Kama ulikuwa wa vyama inabidi UKAWA waendelee kuitambua CUF Kama mshirika wao
Muungano wa UKAWA unaonyesha wazi kuwa haukuwa muungano wa wanachama Bali wa viongozi tu Akina Mbowe ,Lowasa,Maalimu Seif na Mbatia.Ungekuwa Ni wa wanachama hata chama Lipumba awe mwenyekiti UKAWA ungeendelea kuwepo.Yaani Seif Kuondoka CUF eti na CUF haimo UKAWA.Ule ulikuwa muungano wa matapeli wa kisiasaWashirikiane au wasishirikiane, wewe inakuhusu nini? Kilangila.
subiri kamanda lissu ameshapona majeraha mliyompa anakuja kukujibu wewe ma mumeo JIWENaomba kuuliza Kama UKAWA Bado Wana ushirika na CUF Kama hawana ni kwa Nini kwani huo umoja ulikuwa Ni na CUF au na maalimu Seif? Kama ulikuwa wa vyama inabidi UKAWA waendelee kuitambua CUF Kama mshirika wao
Mimi naona maoni yako ndiyo ya kijinga kabisaUkawa imekufa kifo cha kijinga sana....
Dikteta Mbowe kubadili gia angani kumeiua Ukawa..
Itaisaidia nini nchi hii ?!. Mobutu, Amini, Bokassa, Mugabe nk walidhani watakuwa wa maisha . Where are they ?!.Baada ya Uchaguzi Ukawa itakuwa Ukiwa- JPM wa awamu ya nne
Kweli msafwa ni msafwa tu hata akiwa amesoma haelimikiUkawa imekufa kifo cha kijinga sana....
Dikteta Mbowe kubadili gia angani kumeiua Ukawa..