SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 4,796
- 8,980
Yaani wakulima wanatuua kimya kimya.
WAnawaka dawa kila mmea waupandao .
1. Mahindi tokea majani yaliyobaki baada ya mavuno wao wanapulizia dawa majani yanakauka .
Haya baada ya hapo wanaandaa shamba wanaanzisha madawa ndio wanapanda wiki 3 wanapulizia tena madawa hadi uvune mahindi ni madawa matupu.
Kwa maharage na kila zao ni madawa sasa watu watakosaje magonjwa ya wazungu.
Zamani watu wanapanda nakuweka vitu vya asili ila sasa kila siku ni madawa ndio maana kuna kensa kwa sasa saratani ya kila kiungo kisa chakula tunachokula kina madawa yakutosha .
Sasa wanaopanda mazao mnataka nini kupoteza taifa la kesho kwa madawa ?? Maana kila kitu kwa sasa kina madawa yanasikika hadi shida msiwe mnaweka tu mazao ya madawa ili muuze jaribuni kuona walaji watakuwaje .
WAnawaka dawa kila mmea waupandao .
1. Mahindi tokea majani yaliyobaki baada ya mavuno wao wanapulizia dawa majani yanakauka .
Haya baada ya hapo wanaandaa shamba wanaanzisha madawa ndio wanapanda wiki 3 wanapulizia tena madawa hadi uvune mahindi ni madawa matupu.
Kwa maharage na kila zao ni madawa sasa watu watakosaje magonjwa ya wazungu.
Zamani watu wanapanda nakuweka vitu vya asili ila sasa kila siku ni madawa ndio maana kuna kensa kwa sasa saratani ya kila kiungo kisa chakula tunachokula kina madawa yakutosha .
Sasa wanaopanda mazao mnataka nini kupoteza taifa la kesho kwa madawa ?? Maana kila kitu kwa sasa kina madawa yanasikika hadi shida msiwe mnaweka tu mazao ya madawa ili muuze jaribuni kuona walaji watakuwaje .