Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
There are so many different ways of measuring IQ, lakini kuhusu TISS wanatumia njia gani mimi sijui ndugu.How do they measure IQ?
By the way, mimi sifanyi kazi TISS.
There are so many different ways of measuring IQ, lakini kuhusu TISS wanatumia njia gani mimi sijui ndugu.How do they measure IQ?
Mnaojibugi ivi mnajikutaga usalama kumbe zero kabisaSawa !
Samahani kaka kama nimejibu vibaya.Mnaojibugi ivi mnajikutaga usalama kumbe zero kabisa
Sizungumzii mambo madogo Kama taarifa za kuumwa Rais, nazungumzia mambo mengine yanayopaswa kubaki "jikoni" na siyo kuzagaa mitaani!Umeongea vizuri sana kasoro hiyo aya ya mwisho. Njia ya kuzuia kuvuja kwa taarifa ni kuwapa wananchi taarifa juu ya yale yanaoendelea kwenye taifa lao.
Hata kama walikua wanakufwatilia wakiona hii posti zoezi linaishia hapa.Habari wadau..!
Siku za nyuma nilikuwa kama naona nafasi za kujiunga usalama wa Taifa zikitangazwa sijuhi ni kweli au zilikuwa feki?
Je hawa TISS ni vigezo gani vinavyotumika mpaka mtu akaajiriwa ,maana baada ya kutafuta ajira za binafsi nikaona zinazingua ss nataka nijiunge na TISS nikamalizie maisha yaliyobaki huko maana bora kufa ukitetea Taifa lako kuliko kufa kutaabika kwa kumnufaisha mhindi.
TISS ajira zao hazitangazwi.Una maana ndani ya miaka 10-15 taratibu zimebadilika za recruitment ?
Maaana nilishawai kuona kama matangazo yao ya kazi zamani au ni fake kidogo ss hv sioni kabisa hata PCCB nao sioni wakitangaza nafasi nao.
Tunazipataje ss?TISS ajira zao hazitangazwi.