Hiv TBC ni chombo cha Taifa au chombo cha siasa za mrengo 1 wa CCM au ni dodoki la kuosha na kusambaza propaganda za serikali, nao wachukue basi usajili kwenye Baraza la vyama vya siasa maana hawaripoti habari za wananchi zaidi ni mapambio kuanzia asubuhi mpaka asubuhi.
Mnajidanganya sana kwanza siku hizi hamna mtu anafuatilia TV zaidi mitandao ya kijamii.
Mnajidanganya sana kwanza siku hizi hamna mtu anafuatilia TV zaidi mitandao ya kijamii.