Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 6,162
- 6,307
hahahaaaa..amna namna mkuu inatakiwa kujitegemea sie wenyew.Nadhan mpaka afike tutakua tushakufa na njaa maana vyanzo vyetu vya pesa(migodi) tumefungiwa na kilimo mvua hamna kabsa kanda yetu, yaani mwaka huu sijui tu!
H