Hivi Tanzania ni Dar es Salaam tu?

Hivi Tanzania ni Dar es Salaam tu?

Wanarekebisha sehem yenye upinzani kwanza ili kuwashawishi wananchi walio watosa huko kwenu wanajua nyie ni maboya hata msipo fanyiwa chochote au maendeleo yoyote lazima muichague tuu CCM.
 
Aisee ulivyosema alivuna kula nyingi na wewe ukiwemo halafu unakuja kituletea mjadala nimetamani nikushushie matuc ila kwa hekima imebidi nitulie kwanza
Mkuu naomba tu ujifie na huyo jamaa ako kimya kimya
Yani umenichukiza sana
 
Wanarekebisha sehem yenye upinzani kwanza ili kuwashawishi wananchi walio watosa huko kwenu wanajua nyie ni maboya hata msipo fanyiwa chochote au maendeleo yoyote lazima muichague tuu CCM.
Hahaaaaaa,mkuu umepiga mlemle wao khanga na kofia za kijani tu zinawatosha mpaka miaka mitano tena.
 
asante
Aisee ulivyosema alivuna kula nyingi na wewe ukiwemo halafu unakuja kituletea mjadala nimetamani nikushushie matuc ila kwa hekima imebidi nitulie kwanza
Mkuu naomba tu ujifie na huyo jamaa ako kimya kimya
Yani umenichukiza sana

asante bure!
 
Wanarekebisha sehem yenye upinzani kwanza ili kuwashawishi wananchi walio watosa huko kwenu wanajua nyie ni maboya hata msipo fanyiwa chochote au maendeleo yoyote lazima muichague tuu CCM.

duh anyway acha tuendelee tu kuwa maboya ila hata maboya huwa yanachoka pia!!
 
aha


ahadi zake zilikua ni TAMU mno!
Zile za Barabara za chini na juu...! vipi kwani viwanda bado havijajengwa huko? Mkulu alidhania Uraisi ni very Easy yaani matamko tu ndio kama Trump vile mambo wanayaona mazito kila kona watu wanamlilia... Uraisi huwa mtamu pale unapokuwa mtu wa haki na power balance kwa vyama vyote maana unapunguza malalamiko... so kwa sasa wacha abebe peke yake na watu waliompenda kweli kweli wanaanza kustuka siku zinakwenda hamna kitu kinachoendelea siasa za visasi kisa anakupinga kwa mambo kadhaa wewe hasira unamkomesha.... lazima utafail na kutengeneza maadui wengi badala ya kupendwa na kuheshimika... me kwangu raisi nimeona kiwanda alichotengeneza ni kwanda cha Chuki tupu
 
hata mimi huwa najiulizaga kama wewe!alihairisha sherehe fulani,akaweka lami kipande fulani cha barabara Dar,kila pesa anayoipata anaikumbuka DAR tu!!!


Mh,raisi karibu MBEYA CITY utoe tamko moja tu wananchi wa IYUNGA VIWANDANI nao wanufaike na barabara za lami.
 
Alafu hizo pesa anazozigawa kama sadakalawe sijui anazitoa wapi Yaani anatoa pesa nje ya budget.

Kama hizo billion 10 alizowapa magereza juzi hajui kama zilishapangiwa kazi nyingine kwenye hii budget ya juzi yeye kawagawia magereza kutafuta kiki.
Alafu hizo sadakalawe anazitolea tu hapo Dar.
 
Kama umetembea tembea kwenye haya majiji ya tanzania utakubalina na mimi. ..Dar ni mji wa pekee Tanzania wenye mzunguko mkubwa wa fedha.

Sasa unaachaje kuangalia Dar kwa upekee
 
Binafsi huwa napata wakati mgumu sana kuelewa maana toka serikali hii ya awamu ya tano iingie madarakani *( I voted for)*
Mkuu vumilia tu uzuri unakiri we mwenyewe ulichagua hakuna namna endelea kusoma namba tu.....68396916956092585068[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
hamna mkuu atafika tu,kam jk aligusa au alifika maeneo kibao tz bhas na mikoani kwetu ataleta maendleo tumuombee
 
Binafsi huwa napata wakati mgumu sana kuelewa maana toka serikali hii ya awamu ya tano iingie madarakani ( I voted for) naona mambo mengi yanafanyika dar tu, sie mikoani ni kama tumetupwa!
Miradi mingi ya kimaendeleo na hata fedha anazotoa mh Rais zinaelekezwa dar tu, vipi kwa mikoa mingine?
Mie ni mkaazi wa kanda ya ziwa, Shinyanga ambapo mh. rais alivuna kura nyingi sana ikiwemo na yangu, kiukweli bado sijaona mema niliyoahidiwa na mh wakati anapita kuniomba kura, kanda ya ziwa vijana wengi wanategemea UCHIMBAJI MDOGOMDOGO WA MADINI KAMA DHAHABU, toka mh ameingia tumefukuzwa kwenye maeneo yetu ya uchimbaji kwa jina la WAWEKEZAJI!
Maisha yamekuwa ni magumu sana kwa sababu kile kidogo tulichokitegemea miaka mingi nacho tumenyanganywa!
2020 vote tena utajikuta upo kongo uko coz uku utafukuzwa
 
Tunamshauri kama kiti kigumu basi amuige raisi wa ufaransa Mh HOLLANDE kuwa akimaliza miaka 5 hatagombea tena
Labda alilazimishwa
Ana mapungufu mengi hajafaa kuwa mkuu
 
Janaume zima linakuja kulia lia hapa kwamba Serikali hailipi chakula, halafu Wanawake zenu wakiwamwaga na kuchepuka kutafuta Wanaume wa Ukweli mnakuja kulia lia hapa, Fanya kazi wew mtoto wa kiume, hii nchi ni kubwa kukaa kutegemea Serikali ije ikulishe, ni ujike huo!
nu UTOTO si UJIKE mkuu!
 
Mlimchagua sababu mama yake ni Msukuma.... CHOTARA LA Kinyarwanda na Sukumas Tabia mbili tofauti Mwili kikazi ni wa Kisukuma na Tabia ya Kinyarwanda hii combination lazima namba muosome sana tu..

Next time Chagua Tajiri kama Trump wajua matajiri akili zao ni kuishi kwa raha tu sasa mlichagua masikini kweli kweli mtaishi kama yeye tu like father like son.

Huu nao niuamuzi mgum
 
hamna mkuu atafika tu,kam jk aligusa au alifika maeneo kibao tz bhas na mikoani kwetu ataleta maendleo tumuombee

Nadhan mpaka afike tutakua tushakufa na njaa maana vyanzo vyetu vya pesa(migodi) tumefungiwa na kilimo mvua hamna kabsa kanda yetu, yaani mwaka huu sijui tu!
H
hamna mkuu atafika tu,kam jk aligusa au alifika maeneo kibao tz bhas na mikoani kwetu ataleta maendleo tumuombee
 
Back
Top Bottom