At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,514
- 3,554
Kila mtu ashinde mechi zake.!Ila kuwaita mabeberu sawa
Kila mtu ashinde mechi zake.!Ila kuwaita mabeberu sawa
Na kuita raisi dikteta ni sawa ?
Kuwaambia wafadhili na wawekezaji wasije Tanzania ni sawa.?
Mimi nadhani wamewasaidia na ajenda zenu juu ya Tanzania kutopewa misaada.
Kwa hiyo acha tu iwe hivyo, tukomeshe ugaidi kwanza. Tufungue nnchi.
Na je ni kweli ugaidi umefikia hsdi kwa viongozi wa vyama.?Mbowe gaidi
Masheikh wa uamsho magaidi
Wakina lema waliwahi kukamatwa kwa ugaidi
Maalim seif gaidi
Hivi huu ugaidi huwa unafanyiwa wapi?
Mbona hatuoni hayo matukio mtaani ya kishamiri?
Tukiendelea na haya Mambo ya kusema ugaidi ugaidi tutafukuza wawekezaji?
Je hii nchi iliojaaa magaidi wengi si hatari Sana kuishi mbona tunawashangaa wakimbizi (lissu,lema nk)
Nani aliifunga hiyo nchi?Na kuita raisi dikteta ni sawa ?
Kuwaambia wafadhili na wawekezaji wasije Tanzania ni sawa.?
Mimi nadhani wamewasaidia na ajenda zenu juu ya Tanzania kutopewa misaada.
Kwa hiyo acha tu iwe hivyo, tukomeshe ugaidi kwanza. Tufungue nnchi.
utopoloYaweza kuwa hao Viongozi wetu Wazito akina KIJAZI, MFUGALE nk wanapulizwa kitu cha MRUSI Stuka kijana hiii ni karne ya Kizazi cha Laaana usimteteee mtu na nafsi yake. Kuna kundi linalengwa kwa Series ya hivi vifo siyo Burreee!
TANZANIA Ukiwa UPINZANI Hata Ukishikwa UGONI Utashtakiwa kwa UGAIDI ila UKIVAMIA CLOUDS kama MAKONDA wewe ni MZALENDO au UKIKUTWA na SILAHA kama hizi Wewe ni Raia MwemaMbowe gaidi
Masheikh wa uamsho magaidi
Wakina lema waliwahi kukamatwa kwa ugaidi
Maalim seif gaidi
Hivi huu ugaidi huwa unafanyiwa wapi?
Mbona hatuoni hayo matukio mtaani ya kishamiri?
Tukiendelea na haya Mambo ya kusema ugaidi ugaidi tutafukuza wawekezaji?
Je hii nchi iliojaaa magaidi wengi si hatari Sana kuishi mbona tunawashangaa wakimbizi (lissu,lema nk)