brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,264
- 2,275
kiki ya nini?Unatafuta kiki sio
balaa gani hilo mkuu?Duh! We jamaa unatafuta balaa. Nakuonea huruma.
Wadau nauliza tu hivi TZ kuna msanii yeyote anayemzidi Ally Kibakuli kwa ubinafsi na unafiki??
Kibakuli namuona mbinafsi na mnafki kwa kuwa sijawahi kuona hata mara moja akimu wish mtu yeyote siku ya kuzaliwa au kumpa pongezi yoyote msanii mwenzake ikiwemo kumpost kwenye mitandao ya kijamii kwa kumpa pongezi
Pia sijawahi kuona Kiba akisifia cha mwenzake kutoka moyoni kusifia kwake ukimuangalia usoni unaona kabisa hii pongezi haijatoka moyoni
Mimi navyoona Kiba alivyokuwa mdogo alikuwa akiimbiwa afiche vitu anavyonunuliwa ili atumie peke yake au hata chakula inawezekana alikuwa anakula chobingo akimaliza ndo anaenda kwa wenzake ,maana duuuuuh huyu jamaa ana roho mbaya alafu mbinafsi kichizi
We chukulia mfano insta ana followers millioni moja na ushee lakini yeye hamfollow mtu yeyote yule sasa kama huu sio ubinafsi ni nini??
View attachment 415252
Watu wa karibu wa Ally Kibakuli mshauri abadilike bhana la sivyo hata ikiwezekana iko cheo chake cha ubalozi wa wanyama anyang'anywe tu balozi gani ana roho mbaya namna hii kwa binadamu wenzake ataweza kupenda wanyama kweli??
Hilo swala la kutowatakia heri ya kuzaliwa wenzake unalizungumziaje?Ali Kiba anaweza kuwa si mbinafsi, hana communication skills tuu, na pia anakosa menejiment bunifu at least ya kumfanya awe ana wasiliana na washabiki wake, hasa kuto mfollow mtu hata mmoja huko IG nadhani ni kosa la kiufundi menejment yake ina takiwa iliangalie
*lakini kama hai mcost kimuziki bas tumuache aish maisha yake
Ndo anafurahia ikiwa hivo
Umeona eeh team kibakuli hawataki kuukubali ukwelijamaa mbinafsi ndo maana haendelei
Duh! leo Birthday ya Tunda? Ali Kiba mpe bday wish Tunda na mfollow kabla ya Hence Mtanashati kuja kukupiga dumba bure.
Hahaa muulize hanse......Mulhat Mpunga hii ya tunda kweli au? alikuwa chocolate sasa Vanilla
Duh! leo Birthday ya Tunda? Ali Kiba mpe bday wish Tunda na mfollow kabla ya Hence Mtanashati kuja kukupiga dumba bure.
HahahaHilo swala la kutowatakia heri ya kuzaliwa wenzake unalizungumziaje?