Hivi Tanzania kuna Cybercrime kweli?

Hivi Tanzania kuna Cybercrime kweli?

Gluk

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2017
Posts
1,859
Reaction score
3,023
Habari.

Naomba nisiwachoshe niende moja kwenye mada na pia nipate majibu kwa wahusika. Swali langu ni je ni kweli Tanzania tuna cybercrime kweli au hatuna?

Na kama ipo kwanini matapeli wa mtandao wanazidi kutamba licha ya kusajiri laini kwa vidole na kurasimisha tukarasimisha?

Kuna mdau wa mmoja katapeliwa M7 ila cha ajabu eti polisi wameshindw kumpata mharifu huyo.

Je, ni nini kinachokwamisha upatikanaji wa wezi wa mtandaoni au wanawazidi maarifa polisi?
Kwa mwenye majibu ya haya maswali naomba anipe majibu.
 
Iverstigations za matukio ya kiuhalifu yanahitaji muda na yanahusisha mamlaka nyingi, namna ya kukabiliana na matukio haya ni kuwa makini wewe mwenyewe unauejihusisha na matumizi ya kimtandao.

Binafsi ninachoona wengi wanaoibiwa na kutokana na uzembe au kuto kuelewa athari zipatazo mtu anapokiuka miiko ya matumizi ya mtandano.

1)Nineshuhudia mara kadhaa mtu anaenda kutoa pesa Kwa wakala ,baada ya kufanya process yeye anaamua kumpa simu wakala Ili afanye process, hii ni hatari sana.

2) Kuto waamini watu wako wa karibu kwenye ishu zinazohusisha mambo ya kimtandao mfano account za social media, account za pesa na nk

3) Kuwa makini Kwa chochote au yeyote unayewasiliana au anayekupigia kuhusiana mambo ya kimtandao, mfano mara kadhaa naona kuna watu wanawapigia watu wengine na kujinadi kwamba wao ni wahudumu wa Kampuni flani ,na kueleza kwamba wameshinda zawadi na kuwataka watume pesa ya kutumia zawadi, huu ni uhuni ,chukua hatua.
 
Yapo sana ila wanaofanyiwa hivyo hukaa kimya kuepusha panic ya wateja wasio na elimu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa maana Kwa Sheria ya chini hii ishu ya cybercrime ni jinai, so sio rahisi sana kuweka wazi mipango ya serikali naona inavyoshughurika na haya mambo ,na yanashughulikiwa kimya kimya bila kuleta taharuki Kwa watumiajj wa mitandao.
Kinachosumbua ni kwamba wakati serikali inaendelea kushughurika na wahalifu nao wanaongezeka ndio maana tunaona kama haya matukio hayaishai.
 
Habari.

Naomba nisiwachoshe niende moja kwenye mada na pia nipate majibu kwa wahusika. Swali langu ni je ni kweli Tanzania tuna cybercrime kweli au hatuna?

Na kama ipo kwanini matapeli wa mtandao wanazidi kutamba licha ya kusajiri laini kwa vidole na kurasimisha tukarasimisha?

Kuna mdau wa mmoja katapeliwa M7 ila cha ajabu eti polisi wameshindw kumpata mharifu huyo.

Je, ni nini kinachokwamisha upatikanaji wa wezi wa mtandaoni au wanawazidi maarifa polisi?
Kwa mwenye majibu ya haya maswali naomba anipe majibu.

Ktengo cha Cyber Crime kipo ila baadhi ya waliopo humo hawapo vyema katika uchunguzi na analysis,pili Cyber crime dtpmt hawana nyenzo za kuwezesha kufanya kazi ,napendekeza cyber crime iwe kitengo ndani ya TCRA au Police wapewe Desk TCRA.
 
Ktengo cha Cyber Crime kipo ila baadhi ya waliopo humo hawapo vyema katika uchunguzi na analysis,pili Cyber crime dtpmt hawana nyenzo za kuwezesha kufanya kazi ,napendekeza cyber crime iwe kitengo ndani ya TCRA au Police wapewe Desk TCRA.
Mkuu kuna kitu kinaitwa Insider threats Hawa ni wale waharifu walioko ndani ya mfumo wa taasisi, wanaweza jihusisha na uhalifu either Kwa kujua au kuto kujua.

Kwenye makampuni ya simu kwa kiasi kikubwa wanaohusika na uhalifu ni wale wanaoaminiwa na makampuni either Kwa makusu au Kwa uelewa mdogo.

Mfano mtu anaweza kuja na kusema kwamba kapoteza pin namba na agent aka reset pin ya mteja bila kuangalia uhalali wa hiyo simu kadi, hii ni tatizo kubwa sana. Ukija Kwa watumiaji mitandao ndio kabisa uelewa ni mdogo sana wa kukabiliana na haya matukio ya kiuhalifu.
 
Habari.

Naomba nisiwachoshe niende moja kwenye mada na pia nipate majibu kwa wahusika. Swali langu ni je ni kweli Tanzania tuna cybercrime kweli au hatuna?

Na kama ipo kwanini matapeli wa mtandao wanazidi kutamba licha ya kusajiri laini kwa vidole na kurasimisha tukarasimisha?

Kuna mdau wa mmoja katapeliwa M7 ila cha ajabu eti polisi wameshindw kumpata mharifu huyo.

Je, ni nini kinachokwamisha upatikanaji wa wezi wa mtandaoni au wanawazidi maarifa polisi?
Kwa mwenye majibu ya haya maswali naomba anipe majibu.
Sasa ukiwalaum polisi pia utakuwa unakossea polisi wetu hawajawezeshwa kikamilifu kukabiliana na uhalifu huu wa kimtandao.

Mbaya zaidi hata tukisema tuwawezeshe je ni polisi wangapi wanaujuzi wa mambo ya technologies??

Kifupi maendeleo ya technologies duniani yanatufanya tuanze kujihoji hata namna yetu ya recruit ktk vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.

Serikali inapaswa kuajili watu wenye ujuzi ktk vyombo hivi angalau asilimia 80 ya waajiriwa wawe na ujuzi wa ict, sheria na psychology..

Si ajabu watanzania wengi wanaelewa sana cybersecurity kuliko hao polisi tulionao.

Tujisahishe!
 
Habari.

Naomba nisiwachoshe niende moja kwenye mada na pia nipate majibu kwa wahusika. Swali langu ni je ni kweli Tanzania tuna cybercrime kweli au hatuna?

Na kama ipo kwanini matapeli wa mtandao wanazidi kutamba licha ya kusajiri laini kwa vidole na kurasimisha tukarasimisha?

Kuna mdau wa mmoja katapeliwa M7 ila cha ajabu eti polisi wameshindw kumpata mharifu huyo.

Je, ni nini kinachokwamisha upatikanaji wa wezi wa mtandaoni au wanawazidi maarifa polisi?
Kwa mwenye majibu ya haya maswali naomba anipe majibu.
Cybercrime unit ipo tena fully equipped..lakini haidili na petty issues.. Sana sana inaangazia zaidi ulinzi na usalama wa taifa na rasilimali zake
 
Cybercrime unit ipo tena fully equipped..lakini haidili na petty issues.. Sana sana inaangazia zaidi ulinzi na usalama wa taifa na rasilimali zake
Kwahyo inshu kama za utapeli kwao sio kipaumbele chao?
 
Kitapeliwa Pesa kimtandao ni moja ya maajabu ya Dunia.
Sijui inakuwaje kuwaje.

Siku hizi system ziko nyingi sasa sijui MTU unaibiwaje
 
Kwa asilimia kubwa utapeli wa mitandaoni ni uzembe wa wateja na tamaa zao, ujinga wao unawacost na hilo sio jukumu la serikali.

Hata cybercrime iwe imara vp kama wateja watakuwa wazembe uhalifu utaendelea tu. Defense starts with you.

Nenda US kuna uhalifu wa kila aina mitandaoni pamoja na kuendelea kote technologically. Ukiwa mjinga utaibiwa tu huku unalalamikia serikali kwa uzembe wako.
 
Kitapeliwa Pesa kimtandao ni moja ya maajabu ya Dunia.
Sijui inakuwaje kuwaje.

Siku hizi system ziko nyingi sasa sijui MTU unaibiwaje

Wanaobiwa ni ujinga wao na mimi nasema acha wapigwe. Wanalalamikia serikali kwa mambo yaliyo ndani ya uwezo wao.
 
kuna matatizo pande zote mbili. upande wa mteja na the rest side. ila kuna hujuma sana. mimi nilipoteza simu ya kama 5.5k nikapiga simu mtandao flani haraka kwamba nimepoteza simu na sina access ya police kwa mda ivyo naomba line yangu ifungiwe na nikataja viambata vingine. mtoa au watoa huduma waligoma kuizua mpaka nipeleka RB. yaani Tz hapa watu wengi sana ovyo ovyo. yakikukuta ndo utajua mambo yapoje.
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Kwani vibaka wameisha? Hapo utasema pia Polisi hawapo? Ujangili umeisha? Rushwa imeisha? Ajali zimeisha? Au utauliza hii nchi haina Traffic Police kisa ajali zinatokea? Usalama wako unaanza na wewe.
 
Kenya kwenye cybercrime wametuzidi aisee,Ukiwa Kenya ukitumiwa meseji zile za ile hela itume kwenye namba hii au zinazofanana na hizo meseji yako kwa pembeni inaandika "SPAM"
20230317_135731.jpg
 
kuna matatizo pande zote mbili. upande wa mteja na the rest side. ila kuna hujuma sana. mimi nilipoteza simu ya kama 5.5k nikapiga simu mtandao flani haraka kwamba nimepoteza simu na sina access ya police kwa mda ivyo naomba line yangu ifungiwe na nikataja viambata vingine. mtoa au watoa huduma waligoma kuizua mpaka nipeleka RB. yaani Tz hapa watu wengi sana ovyo ovyo. yakikukuta ndo utajua mambo yapoje.
Hawakufanya vizuri, kufunga haihusiani na RB ,wao walitakiwa kuizuia kwanza
 
Back
Top Bottom