Hivi Tanzania kuna Cybercrime kweli?

Hivi Tanzania kuna Cybercrime kweli?

Kenya kwenye cybercrime wametuzidi aisee,Ukiwa Kenya ukitumiwa meseji zile za ile hela itume kwenye namba hii au zinazofanana na hizo meseji yako kwa pembeni inaandika "SPAM"View attachment 2555209

Bado kuna watu wanatuma. Believe me you huyo mleta mada aliyetapeliwa aliona all red flags ila bado akapigwa.

90% ya utapeli mitandaoni ni uzembe wa mteja kama ambavyo watu wanapigwa hela na deci, kalynda nk kila siku na bado hawakomi.
 
kuna matatizo pande zote mbili. upande wa mteja na the rest side. ila kuna hujuma sana. mimi nilipoteza simu ya kama 5.5k nikapiga simu mtandao flani haraka kwamba nimepoteza simu na sina access ya police kwa mda ivyo naomba line yangu ifungiwe na nikataja viambata vingine. mtoa au watoa huduma waligoma kuizua mpaka nipeleka RB. yaani Tz hapa watu wengi sana ovyo ovyo. yakikukuta ndo utajua mambo yapoje.
Walikuwa sahihi kutaka rb hata Kama umewatajia kila kitu Kama hizo taarifa umeziiba wakafunga sm akatokea mtu akadai wamefunga laini huo mziki wake unaujua
 
Bado kuna watu wanatuma. Believe me you huyo mleta mada aliyetapeliwa aliona all red flags ila bado akapigwa.

90% ya utapeli mitandaoni ni uzembe wa mteja kama ambavyo watu wanapigwa hela na deci, kalynda nk kila siku na bado hawakomi.
Ni kweli, maana TCRA+mitandao ya simu wote kila siku wanawakumbushia watu usitume hela kwa mtu usiyemjua lakini bado watu wanatapeliwa,hapo ndipo unapata jibu kwanini CCM hadi leo ipo madarakani
 
kuna siku utakuwa na akili zako timamu & mimi ni miungoni mwa wanakuombea yakukute kama yale ili kipondi unajibu uwe na hoja nzuri.
Walikuwa sahihi kutaka rb hata Kama umewatajia kila kitu Kama hizo taarifa umeziiba wakafunga sm akatokea mtu akadai wamefunga laini h
 
Habari.

Naomba nisiwachoshe niende moja kwenye mada na pia nipate majibu kwa wahusika. Swali langu ni je ni kweli Tanzania tuna cybercrime kweli au hatuna?

Na kama ipo kwanini matapeli wa mtandao wanazidi kutamba licha ya kusajiri laini kwa vidole na kurasimisha tukarasimisha?

Kuna mdau wa mmoja katapeliwa M7 ila cha ajabu eti polisi wameshindw kumpata mharifu huyo.

Je, ni nini kinachokwamisha upatikanaji wa wezi wa mtandaoni au wanawazidi maarifa polisi?
Kwa mwenye majibu ya haya maswali naomba anipe majibu.
Ipo ndani ya jeshi la polisi kama ajira tu, si kwa ajili yako, yule na mimi.
 
Kitapeliwa Pesa kimtandao ni moja ya maajabu ya Dunia.
Sijui inakuwaje kuwaje.

Siku hizi system ziko nyingi sasa sijui MTU unaibiwaje
Kuna mtu alinitapeli kwenye mtandao wa alibaba nataka nikutafute inbox unipe mbinu za kumkamata
 
Ndio, Tanzania ina tatizo la uhalifu wa mtandao (cybercrime). Matapeli wa mtandao wanaendelea kutamba kwa sababu mara nyingi wanatumia mbinu za hila na kujifanya wanaaminika ili kupata pesa kutoka kwa watu. Pia, wakati mwingine wanatumia teknolojia ya kisasa kuficha asili yao na kuwa ngumu kufuatiliwa na mamlaka husika.

Kurasimisha laini za simu na usajili wa vidole umekuwa hatua nzuri katika kupambana na uhalifu wa mtandao. Hata hivyo, bado kuna changamoto nyingi katika kuhakikisha usalama wa mtandaoni, ikiwa ni pamoja na ukosefu wa uelewa wa kutosha kuhusu usalama wa mtandao na teknolojia ya kisasa.

Kuhusu swali la mamlaka za polisi kushindwa kupata wezi wa mtandao, sababu nyingi zinaweza kuchangia hili. Moja ni kwamba uhalifu wa mtandao ni changamoto ya kimataifa, na kuna uwezekano wa wahalifu kuficha asili yao kwa kutumia teknolojia za kisasa za kuficha utambulisho wao. Pia, inaweza kuwa changamoto kwa polisi kuwa na rasilimali za kutosha, ikiwa ni pamoja na utaalamu na teknolojia, kushughulikia kesi za uhalifu wa mtandao.

Ili kupunguza matukio ya uhalifu wa mtandao, ni muhimu kwa mamlaka husika kuhakikisha kuwa kuna uelewa wa kutosha wa teknolojia ya kisasa na hatari zinazowezekana zinazotokana na matumizi yake. Pia, ushirikiano kati ya mamlaka husika, kampuni za teknolojia na wananchi ni muhimu ili kugundua, kuzuia na kushughulikia matukio ya uhalifu wa mtandao.
 
Matapeli wa kwanza ni hawa mawakala wa kusajili line, utakuta unampa kitambulisho chako ila yeye anasajilia line zaidi ya moja kisha moja anakupa na nyingine ndio hizi zinatumika kutapeli watu. Hakikisha unacheki taarifa za usajili wako kujua kitambulisho chako kimetumika kusajili SIM card ngapi
 
Back
Top Bottom