Hivi Tanzania imewakosea nini viongozi wake?

Burkinabe

JF-Expert Member
Feb 12, 2023
1,900
3,206
Tanzania ni mojawapo ya nchi nzuri na ya kuvutia duniani. Inazo raslimali za aina mbalimbali na zingine ambazo huwezi kuzikuta sehemu nyingine duniani.

Kwa ufupi, Tanzania ni moja kati ya nchi tajiri sana duniani, japo watu wake wengi ni maskini wa kutupwa.

Umaskini wa Watanzania umechagizwa kwa sehemu kubwa kutokana na uongozi mbaya wa baadhi ya viongozi wake. Hili ni jambo la kusikitisha sana kwa sababu licha ya upendeleo ambao tumekuwa tunawapa viongozi wetu kuhakikisha wanaishi maisha mazuri wao na familia zao, lakini bado wengi wao wamekuwa wakitulipa mabaya badala ya mema!

Watanzania wengi ni wapole na wasiotaka fujo kwa asili.

Sasa, baadhi ya viongozi wa juu wamekuwa wakilichukulia hili kwa ajili ya kujinufaisha. They have been taking this for granted!

Hii inathibitishwa na changamoto zinazoendelea kwa sasa hapa nchini kwetu. Watanzania wengi hawataki masharti ya hovyo yaliyoko kwenye mkataba wa Kimangungo wa DP World, lakini viongozi wao wa juu wameziba masikio na hawataki kusikia chochote kutoka kwa Raia wao. Halafu wakati wa Kampeni utawaona wanarudi kwa hawa hawa wananchi wanaowapuuza sasa hivi na wengine hufikia hadi hatua ya kuwapigia magoti wananchi ili tu wapate kuchaguliwa, na wakiisha chaguliwa wanawasahau na kuwadharau hao hao wananchi kwa miaka 5 tena!!

Demokrasia ya kweli inatwambia viongozi ni wawakilishi wa wananchi. Na wananchi ndo wanapaswa kuwa na kauli ya mwisho kuhusiana na mambo yanayohusu nchi yao. Lakini kwa sasa Tanzania imekuwa kama nchi ya Kisultani, ambapo viongozi ndo wana kauli ya mwisho kuhusiana na mambo ya nchi!!

Hii haikubaliki kabisa, sasa au baadaye.

Nimalizie kwa kuwaomba sana viongozi makaoupitia huu uzi kwamba, hebu jitahidini kurudisha fadhila kwa Tanzania kutokana na wema ambao Tanzania imekuwa ikiwatendea.

Tafadhalini sana, acheni kabisa kuichezea Tanzania. Kama imewashinda, waachieni wengine waiongoze. Tanzania ina watu zaidi ya Milioni 60. Haiwezi kukosa watu wa kuiongoza.

Tafadhalini sana, tuachieni Tanzania yetu kama mlivyoikuta.

Acheni ubinafsi, acheni ulafi, acheni tamaa.

Kumbukeni, tumeirithi Tanzania ili tuweze kuwarithisha vizazi vyetu.

Mungu ibariki Tanzania pamoja na raslimali zake zote,

AMIN.
 
Tanzania na DRC, wote baba mmoja! Ila tu Mama ndiyo tofauti. Yaani hizi nchi mbili zina kila aina ya utajiri! Kuanzia maliasili, na pia raslimali watu!

Ila mwisho wa siku wamenyimwa viongozi wazalendo na wenye upeo.
 
Tanzania ni mojawapo ya nchi nzuri na ya kuvutia duniani. Inazo raslimali za aina mbalimbali na zingine ambazo huwezi kuzikuta sehemu nyingine duniani.

Kwa ufupi, Tanzania ni moja kati ya nchi tajiri sana duniani, japo watu wake wengi ni maskini wa kutupwa.

Umaskini wa Watanzania umechagizwa kwa sehemu kubwa kutokana na uongozi mbaya wa baadhi ya viongozi wake. Hili ni jambo la kusikitisha sana kwa sababu licha ya upendeleo ambao tumekuwa tunawapa viongozi wetu kuhakikisha wanaishi maisha mazuri wao na familia zao, lakini bado wengi wao wamekuwa wakitulipa mabaya badala ya mema!

Watanzania wengi ni wapole na wasiotaka fujo kwa asili.

Sasa, baadhi ya viongozi wa juu wamekuwa wakilichukulia hili kwa ajili ya kujinufaisha. They have been taking this for granted!

Hii inathibitishwa na changamoto zinazoendelea kwa sasa hapa nchini kwetu. Watanzania wengi hawataki masharti ya hovyo yaliyoko kwenye mkataba wa Kimangungo wa DP World, lakini viongozi wao wa juu wameziba masikio na hawataki kusikia chochote kutoka kwa Raia wao. Halafu wakati wa Kampeni utawaona wanarudi kwa hawa hawa wananchi wanaowapuuza sasa hivi na wengine hufikia hadi hatua ya kuwapigia magoti wananchi ili tu wapate kuchaguliwa, na wakiisha chaguliwa wanawasahau na kuwadharau hao hao wananchi kwa miaka 5 tena!!

Demokrasia ya kweli inatwambia viongozi ni wawakilishi wa wananchi. Na wananchi ndo wanapaswa kuwa na kauli ya mwisho kuhusiana na mambo yanayohusu nchi yao. Lakini kwa sasa Tanzania imekuwa kama nchi ya Kisultani, ambapo viongozi ndo wana kauli ya mwisho kuhusiana na mambo ya nchi!!

Hii haikubaliki kabisa, sasa au baadaye.

Nimalizie kwa kuwaomba sana viongozi makaoupitia huu uzi kwamba, hebu jitahidini kurudisha fadhila kwa Tanzania kutokana na wema ambao Tanzania imekuwa ikiwatendea.

Tafadhalini sana, acheni kabisa kuichezea Tanzania. Kama imewashinda, waachieni wengine waiongoze. Tanzania ina watu zaidi ya Milioni 60. Haiwezi kukosa watu wa kuiongoza.

Tafadhalini sana, tuachieni Tanzania yetu kama mlivyoikuta.

Acheni ubinafsi, acheni ulafi, acheni tamaa.

Kumbukeni, tumeirithi Tanzania ili tuweze kuwarithisha vizazi vyetu.

Mungu ibariki Tanzania pamoja na raslimali zake zote,

AMIN.
Hatuna viongozi tuliochagua! Ni majambazi yaliyojiweka pale tu! Lengo ni kupora na kuuza kila kitu halafu yatokomee kwa mabwana zao!
 
Ni bahati mbaya sana kuwa ndio wengi walivyo wanapoingia madarakani kazi inakuwa ni kukwapua tu!
Pamoja na marupurupu makubwa walio nayo lkn bado hawaridhiki kabisa, angalia reports za CAG za kila mwaka na hakuna kinachofanyika zaidi ya kuyamaliza juu kwa juu!
 
Tanzania ni mojawapo ya nchi nzuri na ya kuvutia duniani. Inazo raslimali za aina mbalimbali na zingine ambazo huwezi kuzikuta sehemu nyingine duniani.

Kwa ufupi, Tanzania ni moja kati ya nchi tajiri sana duniani, japo watu wake wengi ni maskini wa kutupwa.

Umaskini wa Watanzania umechagizwa kwa sehemu kubwa kutokana na uongozi mbaya wa baadhi ya viongozi wake. Hili ni jambo la kusikitisha sana kwa sababu licha ya upendeleo ambao tumekuwa tunawapa viongozi wetu kuhakikisha wanaishi maisha mazuri wao na familia zao, lakini bado wengi wao wamekuwa wakitulipa mabaya badala ya mema!

Watanzania wengi ni wapole na wasiotaka fujo kwa asili.

Sasa, baadhi ya viongozi wa juu wamekuwa wakilichukulia hili kwa ajili ya kujinufaisha. They have been taking this for granted!

Hii inathibitishwa na changamoto zinazoendelea kwa sasa hapa nchini kwetu. Watanzania wengi hawataki masharti ya hovyo yaliyoko kwenye mkataba wa Kimangungo wa DP World, lakini viongozi wao wa juu wameziba masikio na hawataki kusikia chochote kutoka kwa Raia wao. Halafu wakati wa Kampeni utawaona wanarudi kwa hawa hawa wananchi wanaowapuuza sasa hivi na wengine hufikia hadi hatua ya kuwapigia magoti wananchi ili tu wapate kuchaguliwa, na wakiisha chaguliwa wanawasahau na kuwadharau hao hao wananchi kwa miaka 5 tena!!

Demokrasia ya kweli inatwambia viongozi ni wawakilishi wa wananchi. Na wananchi ndo wanapaswa kuwa na kauli ya mwisho kuhusiana na mambo yanayohusu nchi yao. Lakini kwa sasa Tanzania imekuwa kama nchi ya Kisultani, ambapo viongozi ndo wana kauli ya mwisho kuhusiana na mambo ya nchi!!

Hii haikubaliki kabisa, sasa au baadaye.

Nimalizie kwa kuwaomba sana viongozi makaoupitia huu uzi kwamba, hebu jitahidini kurudisha fadhila kwa Tanzania kutokana na wema ambao Tanzania imekuwa ikiwatendea.

Tafadhalini sana, acheni kabisa kuichezea Tanzania. Kama imewashinda, waachieni wengine waiongoze. Tanzania ina watu zaidi ya Milioni 60. Haiwezi kukosa watu wa kuiongoza.

Tafadhalini sana, tuachieni Tanzania yetu kama mlivyoikuta.

Acheni ubinafsi, acheni ulafi, acheni tamaa.

Kumbukeni, tumeirithi Tanzania ili tuweze kuwarithisha vizazi vyetu.

Mungu ibariki Tanzania pamoja na raslimali zake zote,

AMIN.
Lakini utakuta wewe unaipigia CCM kura kila uchaguzi.
 
Manzanita mtu Safi sana... Mtanzania ni mtu mzuri sana kwenye ushauri na ahadi ila kutimiza ni mgumu, iwe mkopo, iwe nafasi. Nature ya mtanzania Ni kukufanikisha uingie kingi. Ukiingia UMEKWISHA.
 
Viongozi walikuwa Magufuli na Nyerere tu hawa wengine wachumia matumbo. Wakati umefika watupishe.
 
Majambazi KAZI Yao ni kulindana hadi yanawekeana msemaji wa maslahi ya kijambazi. Aibu pfuuu.fikiria wasweden labda ndo waje kukaa hapo hafu hayo majambazi yapelekwe huko yatakavyoanza kugawana miundombunu watakayoikuta. It's poor thinkers yanawaza kiaskini
 
Tanzania ni mojawapo ya nchi nzuri na ya kuvutia duniani. Inazo raslimali za aina mbalimbali na zingine ambazo huwezi kuzikuta sehemu nyingine duniani.

Kwa ufupi, Tanzania ni moja kati ya nchi tajiri sana duniani, japo watu wake wengi ni maskini wa kutupwa.

Umaskini wa Watanzania umechagizwa kwa sehemu kubwa kutokana na uongozi mbaya wa baadhi ya viongozi wake. Hili ni jambo la kusikitisha sana kwa sababu licha ya upendeleo ambao tumekuwa tunawapa viongozi wetu kuhakikisha wanaishi maisha mazuri wao na familia zao, lakini bado wengi wao wamekuwa wakitulipa mabaya badala ya mema!

Watanzania wengi ni wapole na wasiotaka fujo kwa asili.

Sasa, baadhi ya viongozi wa juu wamekuwa wakilichukulia hili kwa ajili ya kujinufaisha. They have been taking this for granted!

Hii inathibitishwa na changamoto zinazoendelea kwa sasa hapa nchini kwetu. Watanzania wengi hawataki masharti ya hovyo yaliyoko kwenye mkataba wa Kimangungo wa DP World, lakini viongozi wao wa juu wameziba masikio na hawataki kusikia chochote kutoka kwa Raia wao. Halafu wakati wa Kampeni utawaona wanarudi kwa hawa hawa wananchi wanaowapuuza sasa hivi na wengine hufikia hadi hatua ya kuwapigia magoti wananchi ili tu wapate kuchaguliwa, na wakiisha chaguliwa wanawasahau na kuwadharau hao hao wananchi kwa miaka 5 tena!!

Demokrasia ya kweli inatwambia viongozi ni wawakilishi wa wananchi. Na wananchi ndo wanapaswa kuwa na kauli ya mwisho kuhusiana na mambo yanayohusu nchi yao. Lakini kwa sasa Tanzania imekuwa kama nchi ya Kisultani, ambapo viongozi ndo wana kauli ya mwisho kuhusiana na mambo ya nchi!!

Hii haikubaliki kabisa, sasa au baadaye.

Nimalizie kwa kuwaomba sana viongozi makaoupitia huu uzi kwamba, hebu jitahidini kurudisha fadhila kwa Tanzania kutokana na wema ambao Tanzania imekuwa ikiwatendea.

Tafadhalini sana, acheni kabisa kuichezea Tanzania. Kama imewashinda, waachieni wengine waiongoze. Tanzania ina watu zaidi ya Milioni 60. Haiwezi kukosa watu wa kuiongoza.

Tafadhalini sana, tuachieni Tanzania yetu kama mlivyoikuta.

Acheni ubinafsi, acheni ulafi, acheni tamaa.

Kumbukeni, tumeirithi Tanzania ili tuweze kuwarithisha vizazi vyetu.

Mungu ibariki Tanzania pamoja na raslimali zake zote,

AMIN.
Viongozi wetu wapo wanapamba kuongeze v8 za 500ml huku tukiwa tunaendak kukopa kwa ajili ya madaras
 
Tanzania ni mojawapo ya nchi nzuri na ya kuvutia duniani. Inazo raslimali za aina mbalimbali na zingine ambazo huwezi kuzikuta sehemu nyingine duniani.

Kwa ufupi, Tanzania ni moja kati ya nchi tajiri sana duniani, japo watu wake wengi ni maskini wa kutupwa.

Umaskini wa Watanzania umechagizwa kwa sehemu kubwa kutokana na uongozi mbaya wa baadhi ya viongozi wake. Hili ni jambo la kusikitisha sana kwa sababu licha ya upendeleo ambao tumekuwa tunawapa viongozi wetu kuhakikisha wanaishi maisha mazuri wao na familia zao, lakini bado wengi wao wamekuwa wakitulipa mabaya badala ya mema!

Watanzania wengi ni wapole na wasiotaka fujo kwa asili.

Sasa, baadhi ya viongozi wa juu wamekuwa wakilichukulia hili kwa ajili ya kujinufaisha. They have been taking this for granted!

Hii inathibitishwa na changamoto zinazoendelea kwa sasa hapa nchini kwetu. Watanzania wengi hawataki masharti ya hovyo yaliyoko kwenye mkataba wa Kimangungo wa DP World, lakini viongozi wao wa juu wameziba masikio na hawataki kusikia chochote kutoka kwa Raia wao. Halafu wakati wa Kampeni utawaona wanarudi kwa hawa hawa wananchi wanaowapuuza sasa hivi na wengine hufikia hadi hatua ya kuwapigia magoti wananchi ili tu wapate kuchaguliwa, na wakiisha chaguliwa wanawasahau na kuwadharau hao hao wananchi kwa miaka 5 tena!!

Demokrasia ya kweli inatwambia viongozi ni wawakilishi wa wananchi. Na wananchi ndo wanapaswa kuwa na kauli ya mwisho kuhusiana na mambo yanayohusu nchi yao. Lakini kwa sasa Tanzania imekuwa kama nchi ya Kisultani, ambapo viongozi ndo wana kauli ya mwisho kuhusiana na mambo ya nchi!!

Hii haikubaliki kabisa, sasa au baadaye.

Nimalizie kwa kuwaomba sana viongozi makaoupitia huu uzi kwamba, hebu jitahidini kurudisha fadhila kwa Tanzania kutokana na wema ambao Tanzania imekuwa ikiwatendea.

Tafadhalini sana, acheni kabisa kuichezea Tanzania. Kama imewashinda, waachieni wengine waiongoze. Tanzania ina watu zaidi ya Milioni 60. Haiwezi kukosa watu wa kuiongoza.

Tafadhalini sana, tuachieni Tanzania yetu kama mlivyoikuta.

Acheni ubinafsi, acheni ulafi, acheni tamaa.

Kumbukeni, tumeirithi Tanzania ili tuweze kuwarithisha vizazi vyetu.

Mungu ibariki Tanzania pamoja na raslimali zake zote,

AMIN.
Tanzania ni yao sisi wametuazima tu mahali pa kukanyaga na kulala.

Waache wafanye wanavyotaka.
 
Back
Top Bottom