Hivi Slaa ni mzulu?

Jun 13, 2011
59
8
uasili wa slaa unapaswa kuchunguzwa maana binafsi ananichanganya kumjua kuwa,yeye ni mtanzania halisi au ana asili ya uzulu. Bila shaka si kwaida kumshuhudia mtanzania halisi kuwa natabia ya kupenda shari,uchochezi na vita,lakini huwezi kuwatenganisha wazulu na sifa hizi


ukimchunguza vizuri slaa utaona kuwa, ni mtu anayeshabiana na tabia za kizulu za kupenda vita,shari na uchochezi.evi slaa,wa arusha wamekukosea nini? Mbona unawasababishia majanga? Kumbuka wewe ndie uliyesababisha mauaji ya watu wale watatu na 30 kujeruhiwa vibaya.jua kuwa,jamii inakulaani wewe kwa kusababisha mauaji yale kwani ungelitii amri ya jeshi la usalama, maafa yale yasingelitokea.


Kaka slaa,jua kuwa watu wa arusha ni watu kama wengine ambao wanahitaji kufurahia amani hii iliyopo.kwanini maumivu yamaafa yale hayajaisha halafu unataka kuwaletea mengine? Sisi wenye tanzania yetu hatupendi shari,uchochezi wala vita ukiyataka hayo nenda huko kwa wazulu ambao sasa wametulia maana wamejua umuhimu wa amani.usitumie hiyo convircing power ulinatyo kuwaangamiza watu waso na hatia.huku ukidai unawaonea huruma,kitu ambacho hakiingii akili hata kidogo,utawaoneaje huruma huku ukiwaangamiza kwa kuwatengeneza kuwa tayari kuangamia?
 
wahi kwenye mkutano wa nape njaa itakumaliza
attachment.php
 

Attachments

  • Mwenyekiti wa CCM.jpg
    Mwenyekiti wa CCM.jpg
    72 KB · Views: 210
uasili wa slaa unapaswa kuchunguzwa maana binafsi ananichanganya kumjua kuwa,yeye ni mtanzania halisi au ana asili ya uzulu. Bila shaka si kwaida kumshuhudia mtanzania halisi kuwa natabia ya kupenda shari,uchochezi na vita,lakini huwezi kuwatenganisha wazulu na sifa hizi


ukimchunguza vizuri slaa utaona kuwa, ni mtu anayeshabiana na tabia za kizulu za kupenda vita,shari na uchochezi.evi slaa,wa arusha wamekukosea nini? Mbona unawasababishia majanga? Kumbuka wewe ndie uliyesababisha mauaji ya watu wale watatu na 30 kujeruhiwa vibaya.jua kuwa,jamii inakulaani wewe kwa kusababisha mauaji yale kwani ungelitii amri ya jeshi la usalama, maafa yale yasingelitokea.


Kaka slaa,jua kuwa watu wa arusha ni watu kama wengine ambao wanahitaji kufurahia amani hii iliyopo.kwanini maumivu yamaafa yale hayajaisha halafu unataka kuwaletea mengine? Sisi wenye tanzania yetu hatupendi shari,uchochezi wala vita ukiyataka hayo nenda huko kwa wazulu ambao sasa wametulia maana wamejua umuhimu wa amani.usitumie hiyo convircing power ulinatyo kuwaangamiza watu waso na hatia.huku ukidai unawaonea huruma,kitu ambacho hakiingii akili hata kidogo,utawaoneaje huruma huku ukiwaangamiza kwa kuwatengeneza kuwa tayari kuangamia?

Crap bin Pumba
 
Certificate in Terrorism studies
 

Attachments

  • certificate in Terrorism studies.jpg
    certificate in Terrorism studies.jpg
    14.8 KB · Views: 54
wazulu wanapigana vita? Duh..very low accusations

wewe hujasoma,hufai humu maana unaonekana hata hujui historia ya wazulu.kwa taarifa yako wajerumani walienda kuwachukuwa wazulu huko msumbiji chini ya bwana wissman ili kuwasaidia vita dhidi ya mwiingereza( ww2) baada ya kuwaona wanafaa na wana munkali wa kupenda vita. Veta shule kwanza halafu ndo uingie humu.
 
Kwanini usimfananishe na wahehe waliopigana na wajerumani, ila binafsi tungekuwa na wazulu kama mia hivi nchi ingekombolewa mapema toka mkoloni CCM.
 
Yule bwana si mpenda shari, ila hapendi manyanyaso, na uonevu wowote kwa wananchi. Ni mkweli, jasiri na mwenye msimamo. Kwenye suala yanayohitaji seriousness anakuwa serious hasa. Hii ni sifa binafsi ya mtu. Haina uhusiano na kabila. Japo ni ukweli pia watu wa maeneo ya Arusha hasa wamasai na wairaq - wengi wao - kwa tabia si watu wa blaa-blaa. Ni watu wa "neno lao". Wanachokisema ndicho wanachokitenda, hawana rangi mbili.
 
Mungu ana watu wengi na anatupenda woote!
basi ungesema DR anaundugu na watu wa uarabuni,
Si wajinga ninyi mlimuita mhaini?
 
Slaa,Slaa kwa nini CCM unamuogopa huyu mtu ?

Slaaa ni mtu mdogo sana, kilichopo ni yeye kujiheshimu kwani hawezi kushindana na dola. Anaweza kupotezwa muda mfupi tu na msijue ameenda wapi, system sio mchezo wanamuheshimu na yeye ajiheshimu
 
Madaya huu ni ubaguzi mkubwa!!! Hivi hata kama ni kweli kwamba mtu una babu yako au baba yako katokea nchi nyingine lakini wewe umezaliwa na kukulia Tanzania ni tatizo!!. Hii tu sio ubaguzi bali ni mawazo ya kimasikini sana hapa USA raisi Obama baba yake alikuwa Mkenya lakini lakini sheria imemlinda na sasa ni raisi. Mtoto wangu akizaliwa hapa USA anaweza kuwa chochote anachotaka.
 
uasili wa slaa unapaswa kuchunguzwa maana binafsi ananichanganya kumjua kuwa,yeye ni mtanzania halisi au ana asili ya uzulu. Bila shaka si kwaida kumshuhudia mtanzania halisi kuwa natabia ya kupenda shari,uchochezi na vita,lakini huwezi kuwatenganisha wazulu na sifa hizi


ukimchunguza vizuri slaa utaona kuwa, ni mtu anayeshabiana na tabia za kizulu za kupenda vita,shari na uchochezi.evi slaa,wa arusha wamekukosea nini? Mbona unawasababishia majanga? Kumbuka wewe ndie uliyesababisha mauaji ya watu wale watatu na 30 kujeruhiwa vibaya.jua kuwa,jamii inakulaani wewe kwa kusababisha mauaji yale kwani ungelitii amri ya jeshi la usalama, maafa yale yasingelitokea.


Kaka slaa,jua kuwa watu wa arusha ni watu kama wengine ambao wanahitaji kufurahia amani hii iliyopo.kwanini maumivu yamaafa yale hayajaisha halafu unataka kuwaletea mengine? Sisi wenye tanzania yetu hatupendi shari,uchochezi wala vita ukiyataka hayo nenda huko kwa wazulu ambao sasa wametulia maana wamejua umuhimu wa amani.usitumie hiyo convircing power ulinatyo kuwaangamiza watu waso na hatia.huku ukidai unawaonea huruma,kitu ambacho hakiingii akili hata kidogo,utawaoneaje huruma huku ukiwaangamiza kwa kuwatengeneza kuwa tayari kuangamia?[/QUOTE
]


Acha Woga. 2015 bado mbali. Woga na Propaganda za nini?
 
uasili wa slaa unapaswa kuchunguzwa maana binafsi ananichanganya kumjua kuwa,yeye ni mtanzania halisi au ana asili ya uzulu. Bila shaka si kwaida kumshuhudia mtanzania halisi kuwa natabia ya kupenda shari,uchochezi na vita,lakini huwezi kuwatenganisha wazulu na sifa hizi


ukimchunguza vizuri slaa utaona kuwa, ni mtu anayeshabiana na tabia za kizulu za kupenda vita,shari na uchochezi.evi slaa,wa arusha wamekukosea nini? Mbona unawasababishia majanga? Kumbuka wewe ndie uliyesababisha mauaji ya watu wale watatu na 30 kujeruhiwa vibaya.jua kuwa,jamii inakulaani wewe kwa kusababisha mauaji yale kwani ungelitii amri ya jeshi la usalama, maafa yale yasingelitokea.


Kaka slaa,jua kuwa watu wa arusha ni watu kama wengine ambao wanahitaji kufurahia amani hii iliyopo.kwanini maumivu yamaafa yale hayajaisha halafu unataka kuwaletea mengine? Sisi wenye tanzania yetu hatupendi shari,uchochezi wala vita ukiyataka hayo nenda huko kwa wazulu ambao sasa wametulia maana wamejua umuhimu wa amani.usitumie hiyo convircing power ulinatyo kuwaangamiza watu waso na hatia.huku ukidai unawaonea huruma,kitu ambacho hakiingii akili hata kidogo,utawaoneaje huruma huku ukiwaangamiza kwa kuwatengeneza kuwa tayari kuangamia?
Wewe kilaza tofautisha kati ya amani na UZUZU. mwite chochote Rais wangu.
Majambazi ni lazima tuyakamate. wote tuna uchungu kama Slaa. You Just shuuuuuuut uppppppppppp!
 
uasili wa slaa unapaswa kuchunguzwa maana binafsi ananichanganya kumjua kuwa,yeye ni mtanzania halisi au ana asili ya uzulu. Bila shaka si kwaida kumshuhudia mtanzania halisi kuwa natabia ya kupenda shari,uchochezi na vita,lakini huwezi kuwatenganisha wazulu na sifa hizi


ukimchunguza vizuri slaa utaona kuwa, ni mtu anayeshabiana na tabia za kizulu za kupenda vita,shari na uchochezi.evi slaa,wa arusha wamekukosea nini? Mbona unawasababishia majanga? Kumbuka wewe ndie uliyesababisha mauaji ya watu wale watatu na 30 kujeruhiwa vibaya.jua kuwa,jamii inakulaani wewe kwa kusababisha mauaji yale kwani ungelitii amri ya jeshi la usalama, maafa yale yasingelitokea.


Kaka slaa,jua kuwa watu wa arusha ni watu kama wengine ambao wanahitaji kufurahia amani hii iliyopo.kwanini maumivu yamaafa yale hayajaisha halafu unataka kuwaletea mengine? Sisi wenye tanzania yetu hatupendi shari,uchochezi wala vita ukiyataka hayo nenda huko kwa wazulu ambao sasa wametulia maana wamejua umuhimu wa amani.usitumie hiyo convircing power ulinatyo kuwaangamiza watu waso na hatia.huku ukidai unawaonea huruma,kitu ambacho hakiingii akili hata kidogo,utawaoneaje huruma huku ukiwaangamiza kwa kuwatengeneza kuwa tayari kuangamia?
n NAPE PEOPLE IN ACTION. YOU WILL NEVER MAKE IT. HIKI NI KIZAZI KIPYA CHA WATZ. SOON YOU WILL REALIZE IT.
 
Back
Top Bottom