Hivi sisi watu wa mikoa ya Kusini tuliwakosea nini nchi hii?

Acheni ujinga wa kulialia humu kwenye social media, mnayo silaha kubwa ambayo ni kura
Kama mmezitumia vibaya ni nani wa kumlaumu
 
Ukiondoa mkoa wa kigoma, mikoa ya kusini ndiyo mikoa iliyo baki nyuma kimaendeleo kwa muda mrefu, miaka ya huko nyuma ilikuwa mfanyakazi ukihamishiwa kusini , njia sahihi ya kujinusuru na adha za huko ilikuwa ni kuachana na hiyo kazi.
Barabara nzuri tumepata kwenye miaka ya tisini. Mungu akatuonea huruma kwa umaskini wetu akatuletea gesi, ambayo nayo iligeuka kuwa kama laana badala ya neema, kwani iliamsha mzozo mkubwa wa kuigombania, badala ya kujenga vinu vikubwa na kuwekeza pale Mtwara na kufungua fursa za ajira kwa wanchi. Badala yake mitaro ikachimbwa na ikafirishwa kwenda Dar.
Hilo nalo likapita, tukasema potelea mbali, kaniki ni rangi yake hata uifue vipi itabaki kuwa nyeusi.
Tukahamia kwenye zao letu pendwa la KOROSHO , napo bei ikavurugwa , tukabaki kushuhudia mapambano kati ya wafanya biashara na serikali. Na hii imepelekea tumepata hasara kubwa sana, sasa hatujui tufanye nini, kwani kila linalo onekana kama mbaraka kwetu watu wa kusini serikali ya CCM inaligeuza kuwa laana kwetu, hivi na sisi tukiamua kusema kuwa CCM ni laana kwa mikoa ya kusini tutakuwa tumekosea kweli ?.
Sisi tunasema sawa, ila 2020 ndo CCM mtaifahamu vizuri uhalisia wa sura na tabia yetu, enough is enough. Tuta wachezesha SINDIMBA mpaka basi.( Pungo kwa nchele, pungo kwa nchele, haishindi dona. )Eee Mwenyezi Mungu tunakuomba utupatie tena neema nyingine.
Kosa kubwa ni kuikumbatia CCM.
 
Maovu haya ya wanasiasa yananifanya nisome sana ili siku moja niiokomboe kusini yangu.Mimi kwa wanakusini, nitakuwa kama yule kijana aliyeikomboa Giningi toka kwa utawala wa Bi kirembwe.
Elimu hii hii ya akina propesa kibudu?
 
Huko kulikuwa ni uwanja wa mapambano, kukomboa nchi za kusini ! Kwa sassa ndo uwekezaji unakuja. Gesi, Dangote, Korosho, Mafuta.....mpewe nini tena !?
Ukiondoa mkoa wa kigoma, mikoa ya kusini ndiyo mikoa iliyo baki nyuma kimaendeleo kwa muda mrefu, miaka ya huko nyuma ilikuwa mfanyakazi ukihamishiwa kusini , njia sahihi ya kujinusuru na adha za huko ilikuwa ni kuachana na hiyo kazi.
Barabara nzuri tumepata kwenye miaka ya tisini. Mungu akatuonea huruma kwa umaskini wetu akatuletea gesi, ambayo nayo iligeuka kuwa kama laana badala ya neema, kwani iliamsha mzozo mkubwa wa kuigombania, badala ya kujenga vinu vikubwa na kuwekeza pale Mtwara na kufungua fursa za ajira kwa wanchi. Badala yake mitaro ikachimbwa na ikafirishwa kwenda Dar.
Hilo nalo likapita, tukasema potelea mbali, kaniki ni rangi yake hata uifue vipi itabaki kuwa nyeusi.
Tukahamia kwenye zao letu pendwa la KOROSHO , napo bei ikavurugwa , tukabaki kushuhudia mapambano kati ya wafanya biashara na serikali. Na hii imepelekea tumepata hasara kubwa sana, sasa hatujui tufanye nini, kwani kila linalo onekana kama mbaraka kwetu watu wa kusini serikali ya CCM inaligeuza kuwa laana kwetu, hivi na sisi tukiamua kusema kuwa CCM ni laana kwa mikoa ya kusini tutakuwa tumekosea kweli ?.
Sisi tunasema sawa, ila 2020 ndo CCM mtaifahamu vizuri uhalisia wa sura na tabia yetu, enough is enough. Tuta wachezesha SINDIMBA mpaka basi.( Pungo kwa nchele, pungo kwa nchele, haishindi dona. )Eee Mwenyezi Mungu tunakuomba utupatie tena neema nyingine.
 
Kusini hawajajitambua,wanafikiri kuwa jukumu la maendeleo yao ni kutegemea serikali itakapojiona ina uwezo na nia itafanya.
Ndio maanake wabunge utasikia wanasema serikali ina mpango gani wa kujenga shule,viwanda,hospitali,n.k
Na wananchi nao wanasema TUNAOMBA SERIKALI.
Lakini hata kiwanda cha cement kilichotarajiwa kujengwa huko Lindi kwa pesa ya Libya nacho wamekilamba juu kwa juu na wajanja kutokea huko huko.
 
Kusini acheni kushabikia MaCCM kuwachezea sindimba.
Mkoloni wa sasa ni CCM, funua blanketi tupa kule tokomeza CCM kusini!!
Nape ana majibu alivyo nyanyaswa akiwa waziri!!
 
Na cha ajabu, kila siku wanazindua mashina ya wakereketwa ya CCM, tatzo kusini mmekosa elimu ya kujitambua kila mtu anajali tumbo lake
Ukiondoa mkoa wa kigoma, mikoa ya kusini ndiyo mikoa iliyo baki nyuma kimaendeleo kwa muda mrefu, miaka ya huko nyuma ilikuwa mfanyakazi ukihamishiwa kusini , njia sahihi ya kujinusuru na adha za huko ilikuwa ni kuachana na hiyo kazi.

Barabara nzuri tumepata kwenye miaka ya tisini. Mungu akatuonea huruma kwa umaskini wetu akatuletea gesi, ambayo nayo iligeuka kuwa kama laana badala ya neema, kwani iliamsha mzozo mkubwa wa kuigombania, badala ya kujenga vinu vikubwa na kuwekeza pale Mtwara na kufungua fursa za ajira kwa wanchi.

Badala yake mitaro ikachimbwa na ikafirishwa kwenda Dar.

Hilo nalo likapita, tukasema potelea mbali, kaniki ni rangi yake hata uifue vipi itabaki kuwa nyeusi.

Tukahamia kwenye zao letu pendwa la KOROSHO , napo bei ikavurugwa , tukabaki kushuhudia mapambano kati ya wafanya biashara na serikali. Na hii imepelekea tumepata hasara kubwa sana, sasa hatujui tufanye nini, kwani kila linalo onekana kama mbaraka kwetu watu wa kusini serikali ya CCM inaligeuza kuwa laana kwetu, hivi na sisi tukiamua kusema kuwa CCM ni laana kwa mikoa ya kusini tutakuwa tumekosea kweli ?.

Sisi tunasema sawa, ila 2020 ndo CCM mtaifahamu vizuri uhalisia wa sura na tabia yetu, enough is enough.

Tuta wachezesha SINDIMBA mpaka basi.( Pungo kwa nchele, pungo kwa nchele, haishindi dona. )Eee Mwenyezi Mungu tunakuomba utupatie tena neema nyingine.
 
Back
Top Bottom