Sharo hiphop
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 660
- 99
Mamaako anatembea na mtu mwingine wakati babako yuko hai na anampenda sana mama.
Wewe Sharohphp...lol... Story zako unazitoa wapi??? or should i say what are you thinking,,,,lol.... Umetoa ya baba na mtoto sasa ya mama eeh.. haya basi ngoja tusubiri...
ukweli da asha, haya ni mambo yanatokea, na sisi kama wasomi lazima tushauriane, mtu anaweza kukutana na kisanga kama hicho akaharibu, so nafanya hivi ili tuelimishane, sina nia mbaya.
Tuelimishe basi msomi!
tunakusubiri kwa sababu pamoja na kuuliaza lakini lazima una primary idea ya solution.
namsemea kwa baba
na ukijua dingi anachapa nje,vipi utamsemea kwa maza?kuhusu topic yako:binafsi nisingemsemea maza kwa dingi.Ningetafuta muda,ningemuomba maza privacy,ningemwambia ukweli kuwa tabia yake inanikwaza na kumuomba ajirekebishe.Naamini angeshtuka sana na angeona kweli nampenda kama mama yangu na angeacha kwenda nje.
Nimewai kuona mtu anamtongozea ***** Bwana, yaani anatumwa na anapereka ujumbe kwa siri na wanamficha baba.
na ukijua dingi anachapa nje,vipi utamsemea kwa maza?kuhusu topic yako:binafsi nisingemsemea maza kwa dingi.Ningetafuta muda,ningemuomba maza privacy,ningemwambia ukweli kuwa tabia yake inanikwaza na kumuomba ajirekebishe.Naamini angeshtuka sana na angeona kweli nampenda kama mama yangu na angeacha kwenda nje.
Duuuhh
ntalia..
machozi yatasaidia? Afu ukiulizwa ni kitu gani kinakufany uwe hivo utasemaje?