kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Wafanyakazi wa Posta na maboss wenu mliopo humu ujumbe huu uwafikie
Kwanza mna huduma mbovu kweli kweli yaani nyie ni zero tu hadi shirika hili nahisi linaongozwa na watu wasio timamu au vichaa tu
How come mtu anaagiza mathalan kitu cha 500 tsh mnamchaji 2350 kama tozo na pia mnamchaji 5900 hii mnaijua wenyewe bado mnakabidhisha kwa mtu wa TRA analipa tena ushuru
Hivi mna akili kweli nyie posta???Hivi mmelogwa na nani?Sijapata kuona shirika la hovyo hapa duniani na akhera kama posta Tanzania
Mna huduma za kutuma mizigo mikoa yote lakini hata hampromote halafu gharama ni kubwa kuliko bus na inachelewa balaa
Ni kawaida kwa posta mzigo unatumwa kutoka China ndani ya siku 7 umefika bongo lakini Posta hadi uupate inachukua mwezi au miezi 2
Kuna kipindi mlijitahidi kiasi mfano 2019 mlifanya vizuri, mlikua hata hamtoz viparcel vidogo na mkaweka charges za kawaida nakumbuka ilikua 1000 au 1500 watu wakaanza kutumia posta kwa wingi
Na nyie TRA ambao ni maadui wa wafanya iashara nchi hii mmefungua ofisi posta kazi yenu ni kukodolea viparcel macho na kuwalimu watu kodi kubwa mfano mdogo tu niliagiza saa ya laki moja mtandaoni kufika tu nikalimwa kodi 45000/= hapo posta washanipiga 2350 na 5900 yaani acheni tu
Shirika la posta pia limejaa janja janja nyingi utasikia njoo kesho njoo kesho kutwa mara Rukia wa viparcel hayupo mara katoka unazungushwa tu ujinga mtupu na upuuzi
Wafanyakazi wa posta wapo wanaohudumia kama vile hawataki customer care mbovu halafu vizee,na vizuka ni wengi posta yaani wamezeekea shirikani wapo wapo tu wanafanya kazi kwa mazoea na hawakubali mabadiliko
Namuomba mama Samia aliangalie hili shirika la posta linatia aibu nchini
Kwanza mna huduma mbovu kweli kweli yaani nyie ni zero tu hadi shirika hili nahisi linaongozwa na watu wasio timamu au vichaa tu
How come mtu anaagiza mathalan kitu cha 500 tsh mnamchaji 2350 kama tozo na pia mnamchaji 5900 hii mnaijua wenyewe bado mnakabidhisha kwa mtu wa TRA analipa tena ushuru
Hivi mna akili kweli nyie posta???Hivi mmelogwa na nani?Sijapata kuona shirika la hovyo hapa duniani na akhera kama posta Tanzania
Mna huduma za kutuma mizigo mikoa yote lakini hata hampromote halafu gharama ni kubwa kuliko bus na inachelewa balaa
Ni kawaida kwa posta mzigo unatumwa kutoka China ndani ya siku 7 umefika bongo lakini Posta hadi uupate inachukua mwezi au miezi 2
Kuna kipindi mlijitahidi kiasi mfano 2019 mlifanya vizuri, mlikua hata hamtoz viparcel vidogo na mkaweka charges za kawaida nakumbuka ilikua 1000 au 1500 watu wakaanza kutumia posta kwa wingi
Na nyie TRA ambao ni maadui wa wafanya iashara nchi hii mmefungua ofisi posta kazi yenu ni kukodolea viparcel macho na kuwalimu watu kodi kubwa mfano mdogo tu niliagiza saa ya laki moja mtandaoni kufika tu nikalimwa kodi 45000/= hapo posta washanipiga 2350 na 5900 yaani acheni tu
Shirika la posta pia limejaa janja janja nyingi utasikia njoo kesho njoo kesho kutwa mara Rukia wa viparcel hayupo mara katoka unazungushwa tu ujinga mtupu na upuuzi
Wafanyakazi wa posta wapo wanaohudumia kama vile hawataki customer care mbovu halafu vizee,na vizuka ni wengi posta yaani wamezeekea shirikani wapo wapo tu wanafanya kazi kwa mazoea na hawakubali mabadiliko
Namuomba mama Samia aliangalie hili shirika la posta linatia aibu nchini