Hivi shetani akisema" acha kutenda dhambi"utamwelewa?

MEXICANA

JF-Expert Member
Nov 16, 2014
1,777
2,040
habari!Kuhusu madawa ya kulevya kila mtu anajitokeza kuunga mkono jitihada za kupambana na wauzaji na watumiaji.Hivi wale tunaowafahamu kabisa tena wengine walikamatwa abroad wakiwa na madawa ya kulevya na wakanusurika kuuawa,Je wanapojitokeza sahivi tena kwa kasi ya ajabu kuunga mkono hii operation ya makonda wana maana gani? ikumbukwe pia waliofanya hii bussness hata kama ni kipindi cha nyuma wakaacha wanatafutwa.
 
Huyo hawezi guswa mkuu..kwani mwendokasi bado hajajua akatoe aina gani ya asante msoga.sasa asante yenyewe ndio hiyo kutomgusa mwanangu mpendwa.hiyo tusahau na tusitegemee?mwenye ile picha ya kondakta akimfunga kamba za viatu tafadhali aitag kwenye hii mada.
 
Huyo hawezi guswa mkuu..kwani mwendokasi bado hajajua akatoe aina gani ya asante msoga.sasa asante yenyewe ndio hiyo kutomgusa mwanangu mpendwa.hiyo tusahau na tusitegemee?mwenye ile picha ya kondakta akimfunga kamba za viatu tafadhali aitag kwenye hii mada.
Basi kama ni hivyo bora waache tu
 
Tunatafuta mashoga now episode 6 prison break stering now lazima akapimwe marida jina la movie ni mkuudelicious ...tukutane kwa mganga mkuu
 
Back
Top Bottom