drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
jamani serikali imetangaza kwamba itagaramia mazishi yote na jana walikuja kwa jirani yetu wakatangaza watatoa sh.1.5m kwa ajili ya kusafirisha na watato mchele na sukari na mafuta hiyo ilikuwa jana jioni wakasema kesho yani leo wangeleta usafiri kwa ajili yakwenda kuchukua mwili wa marehemu kuulete nyumbani kisha kusafirisha.
Mpaka dk hii akuna chochote kilichofanyika wakiulizwa wanasema wapo kwenye msafara wa waziri mkuu.
Watu tumeahamua kuchangisha ili mwili ukachukuliwe na kusafirishwa, hivi serikali inaweza kufanya usanii namna hii jamani?
Mpaka dk hii akuna chochote kilichofanyika wakiulizwa wanasema wapo kwenye msafara wa waziri mkuu.
Watu tumeahamua kuchangisha ili mwili ukachukuliwe na kusafirishwa, hivi serikali inaweza kufanya usanii namna hii jamani?