Hivi Samia, Lissu amekukosea nini?

Nyumbu Lissu alisema "tutafanya uasi, tutavuruga uchaguzi, tutahakikisha uchaguzi hautafanyika"

Na kweli tuliona nyumbu wenzake mkijaribu kufanya uasi na kuleta vurugu zilizosababisha hasara kubwa kwa taifa.

Muhalifu huyu anaeitwa Tundu Lissu anastahili kupata adhabu ya kunyongwa kwa kuhamasisha uasi.

Hakuna huruma kwa muhalifu.
 
Sababu amemzidi akili na maarifa kwa kiwango cha kutisha. Kwa hili lazima amchukie. Hata Yohana Mbatizaji alichukiwa na Herode kwa sababu ya kusimama kwenye haki/kusema ukweli/ kutetea ukweli.

Kwa miaka mingi ccm waliwazoea viongozi wenye tamaa ya fedha/wachumia tumbo/wanao nunulika kwa fedha na vyeo! Ila cha kushangaza mtu kama Lissu aliahidiwa cheo na Magufuli! Akakataa! Samua alimpelekea begi la hela kupitia mtoto wake aliyesindikizwa na yule pungasese wenje! Bado alikataa!! Wakati yuko gerezani, alimpelekea ofa nyingine nono ya kumshawishi akubali matakwa yake haram, bado mwamba amekataa!

Kwa hali hii atampenda kwa lipi? Angalia alichomfanya sasa! Yeye yuko jela, na huyu naye anaishi kwa kujificha kutokana tu na aibu ya kujitakia.
 
Tabia ya kisasi inakaa kwa watu wenye akili ndogo
 
..Mama Abduli ana machungu na hasira na TL kwasababu alipokutana naye Ubelgiji alimsaidia kwa fedha, Mama anadai ilikuwa posho yake ya safari, sasa badala ya TL kuwa na shukrani akaanza kumkosoa.
Kiuhalisia 'kijiposho changu' ni fedha zake au ni fedha za Serikali?
 

..hata Lissu amewahi kuwapa watu pesa.

..Lissu pia amewahi kuwatetea watu kesi zao bila malipo.

..lakini Lissu sio mtu wa kujitangaza kuwa amemfanyia fulani hiki au kile.

..Na sijawahi kumsikia Lissu akidai malipo / fadhila / hisani ya aina yoyote kutoka kwa mtu aliyemsaidia.
 
UMENENA VYEMA mkuu, Lissu namfananisha sana Patrice Lumumba.., yan ni copy yake kabisa, kwake nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe hakuna udhurungi
 
..Ni fedha yake kwasababu ni malipo aliyoyapata kwa ajira yake ya Uraisi.
Mkuu mi nimekaa Ikulu, ingawa si hii ya Magogoni, mambo mengi nayafahamu kuhusu hao 'viumbe'.

Hawa Marais hasa wa Africa akisema 'natoa fedha zangu' hamaanishi za mfukoni mwake, fedha zote za umma huita za kwao.

Rais anaumba jambo lolote ulijualo wewe kwa maneno matupu kama mungu, ndiyo maana kustaafu 'kipenda roho' huwa haiwezekani.

Katika maisha yake ya Urais, hanunui chochote unachokijua kwa 'fedha yake'.

Allowance na mishahara yao haiguswi.

Nguo, chakula na malazi ni 'free'.
Si chakula na malazi pekee ya free, nikila kitu.

Haiingii akilini Rais anataka kusaidia mwananchi kifedha eti achomoe hela za mfukoni mwake, hizo ni siasa alikuwa akipiga.
 
Kikwete.....ndio mbaya wa TL....period !! Mshauri bi kidude ni JK ameshamtisha sanaaaa.....kuhusu TL na ramli ya Sheikh Hussein imamlaza nje bi kidude kila sikukurogaaas
 
Ni roho mbaya tu wala sio washauri wake anataka kutuonyesha kuwa tutamfanya nini.
 
Lissu Mimi nilimwambia biashara ya kuwapambania wajinga huwa hailipi nilimwambia tangu alipopigwa risasi


Yaani MTU Una risk maisha yako kwa watu wapumbavu Kama hawa waswahili
 
Lissu analo kosa kubwa sana na lisilosameheka la kutaka kuwa rais, sasa yeye akiwa rais anadhani yule bibi ile minyonyo ataipeleka wapi? Hata ving'asti vyake vitamkimbia mazima.
 
Kikwete.....ndio mbaya wa TL....period !! Mshauri bi kidude ni JK ameshamtisha sanaaaa.....kuhusu TL na ramli ya Sheikh Hussein imamlaza nje bi kidude kila sikukurogaaas

..ubaya aliofanyiwa TL na JK huwezi kuulinganisha na mambo aliyopitia wakati wa Jpm, na Ssh.
 
Cha kufanya kwa machawa mnakijua
 
Maigizo ya kwenda Hospitali ilikuwa move ya kumsagia kunguni Jiwe.
Now mask off .... Two face Isamya kaonekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…