Sio ana roho mzito,Bali ana roho mbaya sanaKwakweli kama kuna anayeju jibu ya hili swali atusaidie. Huyu Samia Lissu alimkosea nini? Kiukweli kabisa katika mambo yanayokufanya uendelee kujiandikia historia ya doa jeusi ni hii ya kumfunga lissu bila sababu. Mbona una roho nzito kuliko hata watangulizi wako wa jinsia ya kiume? Washauri wako wanakuangamiza na wanacheka namna unavyoharibikiwa.
Lissu anapiga kwenye MSHONO so ukipata kiongozi ambaye si mvumilivu unaweza kufikia hatua kama ile iliyofanyika Sept 7 Dodoma.Kwakweli kama kuna anayeju jibu ya hili swali atusaidie. Huyu Samia, Lissu alimkosea nini?
Kiukweli kabisa katika mambo yanayokufanya uendelee kujiandikia historia ya doa jeusi ni hii ya kumfunga lissu bila sababu.
Mbona una roho nzito kuliko hata watangulizi wako wa jinsia ya kiume? Washauri wako wanakuangamiza na wanacheka namna unavyoharibikiwa.
Kwakweli kama kuna anayeju jibu ya hili swali atusaidie. Huyu Samia, Lissu alimkosea nini?
Udini unamsumbua ...Zitto alileta vurugu kule Kigoma baada yakupigwa chini na Baba Levo ..alikamatwa dakika mbili tu akaachiwa , lssa Ponda kwa mara kadhaa amemushambulia ndugu Samia ila hakuna siku moja akakamatwa...jiulize Gwajima au Father Kitima nini kikawapata.Akimuona Mh Lissu kwasasa anatamani amunyongetu....nimuovu moja kutoka upande kule anampenda..kamanda feki aka DJ zero.Kwakweli kama kuna anayeju jibu ya hili swali atusaidie. Huyu Samia Lissu alimkosea nini? Kiukweli kabisa katika mambo yanayokufanya uendelee kujiandikia historia ya doa jeusi ni hii ya kumfunga lissu bila sababu. Mbona una roho nzito kuliko hata watangulizi wako wa jinsia ya kiume? Washauri wako wanakuangamiza na wanacheka namna unavyoharibikiwa.
Ulichosahau, Lissu ni tishio kwa matajiri wote tycoons wa nchi hii waliomzunguka Samia, akina Rostam na team "Wahuni" by late Polepole.Kwakweli kama kuna anayeju jibu ya hili swali atusaidie. Huyu Samia, Lissu alimkosea nini?
Kiukweli kabisa katika mambo yanayokufanya uendelee kujiandikia historia ya doa jeusi ni hii ya kumfunga lissu bila sababu.
Mbona una roho nzito kuliko hata watangulizi wako wa jinsia ya kiume? Washauri wako wanakuangamiza na wanacheka namna unavyoharibikiwa.
Nakubaliana nawewe Mkuu.Ulichosahau, Lissu ni tishio kwa matajiri wote tycoons wa nchi hii waliomzunguka Samia, akina Rostam na team "Wahuni" by late Polepole.
Lissu ni mkweli kupitiliza, jambo linalomgharimu na litaendelea kumtesa maisha yake yote.
Watu smart aina ya Lissu hapa Africa lazima wafe au wahamie nchi zingine. Au raia walipuke nchi nzima kumtetea au jeshi liseme enough is enough libebe vyuma mtaani hadi Ikulu.
Rejea Tom Mboya Kenya, Patrice Lumumba, nk
Kwakweli kama kuna anayeju jibu ya hili swali atusaidie. Huyu Samia, Lissu alimkosea nini?
Kiukweli kabisa katika mambo yanayokufanya uendelee kujiandikia historia ya doa jeusi ni hii ya kumfunga lissu bila sababu.
Mbona una roho nzito kuliko hata watangulizi wako wa jinsia ya kiume? Washauri wako wanakuangamiza na wanacheka namna unavyoharibikiwa.
Kwakweli kama kuna anayeju jibu ya hili swali atusaidie. Huyu Samia, Lissu alimkosea nini?
Kiukweli kabisa katika mambo yanayokufanya uendelee kujiandikia historia ya doa jeusi ni hii ya kumfunga lissu bila sababu.
Mbona una roho nzito kuliko hata watangulizi wako wa jinsia ya kiume? Washauri wako wanakuangamiza na wanacheka namna unavyoharibikiwa.
Lissu alikua msitari wa mbele kwenye mapinduzi ya TEC,winga ya kulia akina Maria sarungi,mange, Hilda Newton etc,winga ya kushoto polepole,kocha TEC,warioba,Dr taahira wa Moshi..Mama Abduli ana machungu na hasira na TL kwasababu alipokutana naye Ubelgiji alimsaidia kwa fedha, Mama anadai ilikuwa posho yake ya safari, sasa badala ya TL kuwa na shukrani akaanza kumkosoa.
Samia alikosea sana kumpa Lissu hiyo posho kwa madai yako yasiyothibitishwa na najua ni uongo wa kisiasa...Mama Abduli ana machungu na hasira na TL kwasababu alipokutana naye Ubelgiji alimsaidia kwa fedha, Mama anadai ilikuwa posho yake ya safari, sasa badala ya TL kuwa na shukrani akaanza kumkosoa.
Lissu alikua msitari wa mbele kwenye mapinduzi ya TEC,winga ya kulia akina Maria sarungi,mange, Hilda Newton etc,winga ya kushoto polepole,kocha TEC,warioba,Dr taahira wa Moshi
Shida anayeshawishiwa akili zake zikoje halafu ongeza na viongozi wa dini kwenye hiyo orodha..hii sio sawa.
..hamumtendei haki na mnaudharaulisha Mama Abduli.
..hivi mnataka kusema Dada Mange, au Dada Maria, wana akili na ushawishi kuliko Mama Abduli, ndio maana wananchi waliwasikiliza na wakaandamana na kuharibu mali?
Akimtoa huyo mtaandamana bora aendelee kumshikiliaKwakweli kama kuna anayeju jibu ya hili swali atusaidie. Huyu Samia, Lissu alimkosea nini?
Kiukweli kabisa katika mambo yanayokufanya uendelee kujiandikia historia ya doa jeusi ni hii ya kumfunga lissu bila sababu.
Mbona una roho nzito kuliko hata watangulizi wako wa jinsia ya kiume? Washauri wako wanakuangamiza na wanacheka namna unavyoharibikiwa.
Shida anayeshawishiwa akili zake zikoje halafu ongeza na viongozi wa dini kwenye hiyo orodha
Ni kwa viongozi wajinga tu wa kiafrikaLissu anapiga kwenye MSHONO so ukipata kiongozi ambaye si mvumilivu unaweza kufikia hatua kama ile iliyofanyika Sept 7 Dodoma.
Kiukweli kabisa katika mambo yanayokufanya uendelee kujiandikia historia ya doa jeusi ni hii ya kumfunga lissu bila sababu.Kwakweli kama kuna anayeju jibu ya hili swali atusaidie. Huyu Samia, Lissu alimkosea nini?
Kiukweli kabisa katika mambo yanayokufanya uendelee kujiandikia historia ya doa jeusi ni hii ya kumfunga lissu bila sababu.
Mbona una roho nzito kuliko hata watangulizi wako wa jinsia ya kiume? Washauri wako wanakuangamiza na wanacheka namna unavyoharibikiwa.