GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,705
- 109,138
We jamaa unaishi ndotoni sana.. Tanzania imuhitaji Rwanda kwa kipi? Kila siku mnafurushwa kwenye mapori ya Tanzania mnamofugia ng'ombe kinyume na sheria.. Mna bahati kipindi cha Kikwete alipata washauri wazuri alikua awatafune mchana kweupe maana tayari zana nzito za kivita tayari zilikua zimesogezwa Benaco tayari kuiteka Kigali Amiri Jeshi Mkuu akitoa amri..
Sawa.