Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 10,875
- 20,076
Kwahiyo na rwanda ni kama uingereza ?? labda uingereza ya Yombo VitukaSize ya visiwa vya Uingereza ni ndogo kuliko Tanzania. Je jeshi la Tanzania linaweza kuwavamia waingereza kwa sababu Tanzania ina eneo kubwa kuliko lao ?