Jaman humu ndani nasoma kitu kinaitwa router afu huwa sielewi sasa wachambuzi wa mambo kinagaubaga mtusaidie sie tunakuwaga njia panda tukisikia maneno hayo.......help plz! !!!!!!!!!!"
Router siyo lazima iwe wireless. Router inatokana na neno route. Nikifaa ambacho kina ng'amua njia.hii ndiyo router:- ni wireless device kwa mawasiliano ya mtandao,
Jaman humu ndani nasoma kitu kinaitwa router afu huwa sielewi sasa wachambuzi wa mambo kinagaubaga mtusaidie sie tunakuwaga njia panda tukisikia maneno hayo.......help plz! !!!!!!!!!!"
Mkuuu hapo naomba ushaur kidogo unaweza ukaitumia kuaccses hata katika maeneo ambayo hayana covered ya internet mfano mashambani na ukaweza kupata full access .......halafu huwa zinapatika kwa bei gan?