Hivi RC Chalamila anatafuta nini?

Hivi RC Chalamila anatafuta nini?

Kiongozi wa dini sio kiongozi wa kisiasa. Chalamila yupo sahihi.
 
Kiongozi wa dini sio kiongozi wa kisiasa. Chalamila yupo sahihi.
Siasa ni maisha na maisha ni siasa.Soma Mwanzo 1:29-30.Pia kumbuka kuwa sisi Wakristo mpaka tufike hapa Karne hii tumepambana Kisiasa,Kiuchumi,Kielimu,Kiutamaduni,Kijamii na ndiyo maana tunaitwa Wakristo.Bila Siasa tusingekuwa Wakristo.
 
Back
Top Bottom