Hivi RC Chalamila anatafuta nini?

Hivi RC Chalamila anatafuta nini?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,342
Reaction score
283,378
Screenshot_2025-07-10-15-08-49-1.png


Hivi vyeo vya kuteuliwa ni vya kupita tu, iko siku vinaondoka
 
Kuna picha ali-post mwashambwa siku Samia anaagwa kuelekea Comoro, huyu ndiye alikuwa mbele miongoni mwa viongozi kwenye Ile picha.

Labda kishajiona ndiye namba mbili.

Btw, kesha pokelewa toka Comoro?
Hata mimi nasubiri asee 😊😊😊
Mbuzi yupo bandani nasubiri msechu atoe dundo
 
Yuko sahihi kabisa

Ulitaka asemeje?

Maana sasa hata askofu kibaibo mwamakula atadai ni mkuu anchi

Tulishafundishwa kutenga ya Kaizari

Msilazimishe mambo
Nani ambaye hakulijua hilo hadi lisemwe na Chalamila?
 
Back
Top Bottom