Mfuko upo hoi cha ajabu raisi anamleta mtu ambae hana mawazo mapya zaidi ya kuja kuharibu tena!
Ndugu zangu 2025 ni wakati wa kuwa na mtu makini, mzalendo na anaewajali watu wote, ona wastaafu wanavyotaabika kupata mafao yao wakati walikatwa walipokuwa kazini.