Hivi Rais Magufuli ni Malaika mpaka asikosolewe?

Kwa ufahamu wangu, malaika huwa hawakosei kwani wao wameumbwa kumtumikia Mungu.

sasa kwanini wanaomkosoa Baba ***** waonekane wabaya kiasi hiki mpaka wahojiwe?

hivi binadamu hakosei? akikosea asiambiwe.

"Only in Tanzania"


Ndiyo! Kwa kuwa anafanya kazi ya Mungu!
 
Kwa ufahamu wangu, malaika huwa hawakosei kwani wao wameumbwa kumtumikia Mungu.

sasa kwanini wanaomkosoa Baba ***** waonekane wabaya kiasi hiki mpaka wahojiwe?

hivi binadamu hakosei? akikosea asiambiwe.

"Only in Tanzania"
Wanaomkosoa wanalinda mafisadi
 
Kwa ufahamu wangu, malaika huwa hawakosei kwani wao wameumbwa kumtumikia Mungu.

sasa kwanini wanaomkosoa Baba J e s c a waonekane wabaya kiasi hiki mpaka wahojiwe?

hivi binadamu hakosei? akikosea asiambiwe.

"Only in Tanzania"
MALAIKA WA MBINGUNI
 
kumbe baba jesca = j es ca jf hamtaki apate sifa Kwa kuitwa jina la mwanae
 
Mkuu umesahau kauli ya Che Nkapa pale jangwani? Alisema hivi, "nchi hii ilishakombolewa, wanaosema wanataka kuikomboa nchi hii ni malofa na wap.umbavu". Na watu wakashangilia sanaaa!!!Sasa huyo mkombozi wetu anatoka wapi tena!? Au naye ni........!!!

We we we
 
Nadhani assadsyria wewe upo Muda mrefu hapa jf, nadhani unakumbuka enzi zile ukiweka uzi wa kukosoa chadema au mbunge wa cdm hali ilikuwaje, kama hii ya leo ya magufuli, unajua baba V..I.Laza, na mama v.I.la.za mkuu hajakosea kuwaita, wanasiasa wetu huwa tunawaharibu wenyewe kuwafanya malaika,
 
Back
Top Bottom