Hivi rais huwa anasocialize?

Hivi rais huwa anasocialize?

Anatakiwa kukumbushwa kuwa urais sio vita!!

Namuona ana mrengo wa ki-antisocial zaidi hivyo ni sociopath!!
Tatizo ni exposure. Mtu akitawalwa na roho na akili za kimasikini na matokeo yake ndio yanakuwa kama haya.

Na ndio maana nchi za wenzetu hawawezi kukupa madaraka kama wewe mwenyewe hauna mafanikio makubwa na kuwa na ukwasi wa kutupwa na wa kiahalali.
 
Watu wengine ukiwaruhusu wa socialize watakuzoea vibaya ni bora wasocialize but not to that extent.
 
Haa! haa! haaa! Malaika ni mpweke mno sasa hivi. Nyerere aliwezaga hata kucheza bao na wazee wenzie ikulu wakati wa jioni, ila malaika,mhh!!!
 
Back
Top Bottom