Ponjoro wa Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2024
- 2,882
- 7,916
Je maamuzi yake yatatekelezwa hata kama ni matokeo ya mimba? Je ataacha madaraka kamili kwa makamu wake?
Mimba haiangalii umri mkuuNdio maana katiba inasema mgombea wa Urais awe na angalau miaka 40
ni 45 sio 40Ndio maana katiba inasema mgombea wa Urais awe na angalau miaka 40
Mkuu mbona siku hizi umeacha kuleta zile nyuzi za ngono?ni 45 sio 40
Yule akipigwa mashine vizuri anashika mkuu.Kwani bibi kiziwi ana miaka mingapi? Umri wa kubeba si ushapita, au ndo itatokea kama miujiza ya sarah wa Abraham
shida simu,simu yangu kubwa niliibiwa nilipoenda mjini, natumia batan now na nikienda sehemu imeandkwa post thread nakosa sehemu pa kuandika heading. Ni vema sana ukanifungulia uzi wa kunichangia ninunue simu member mwenzenu.Mkuu mbona siku hizi umeacha kuleta zile nyuzi za ngono?
Pole sana mkuu, ngoja tuangalie namna ya kufanya ili mambo yakae sawa.shida simu,simu yangu kubwa niliibiwa nilipoenda mjini, natumia batan now na nikienda sehemu imeandkwa post thread nakosa sehemu pa kuandika heading. Ni vema sana ukanifungulia uzi wa kunichangia ninunue simu member mwenzenu.
Sawa Nitashukuru sana mkuu.Pole sana mkuu, ngoja tuangalie namna ya kufanya ili mambo yakae sawa.
Atazaa na kupata maternity leaveJe maamuzi yake yatatekelezwa hata kama ni matokeo ya mimba? Je ataacha madaraka kamili kwa makamu wake?
Sasa 45 hata siku zake ashazisahauMimba haiangalii umri mkuu
Sawa mkuu, natumai mambo yatakaa vyema.Sawa Nitashukuru sana mkuu.
kuna jamaa nimeona anauza Samsung A05 170k tukidonate 1000×170 =170k uchukue hio simu chiefSawa Nitashukuru sana mkuu.
Okayshida simu,simu yangu kubwa niliibiwa nilipoenda mjini, natumia batan now na nikienda sehemu imeandkwa post thread nakosa sehemu pa kuandika heading. Ni vema sana ukanifungulia uzi wa kunichangia ninunue simu member mwenzenu.
Akipigwa mashine vizuri anashika mimba mkuuSasa 45 hata siku zake ashazisahau