Nape kanyaga twende. Usiwasikilize hao wahuni wa CDM wanataka kukudivert maana walishajua ww ni Jembe ukiwafuata watakavyo chama kitapwayandugu yangu nqpe kumbe bado hujui siri za magamba japo upo mstari wa kukashifu madaktari, magamba hawana upendo wa kweli kaka, usione wamekupa shangingi ukajiona wewe ni nambari wani wa ukweli, si kweli! wakipoteza maslahi na wewe watakubadilikia na hatakuba kukufanyia zaidi ya yaliyomkuta shujaa ulimboka. inasemekana hata marehemu babako akifufuka leo kamwe hawezi kubaki magamba kwa yaliyomkuta. kaulize kolimba family, kwa taarifa yako hata wewe wanakutumia kama mshumaa.so kuwa makini na lugha zako