Hivi polisi wanawezaje kupata Simu iliyoibiwa?

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Apr 28, 2020
445
754
Hivi polisi wanawezaje kupata Simu iliyoibiwa

Nazani kichwa Cha habari kinaeleweka ?
Au basi ngoja nikuulize tena Umeshawahi kujiuliza ni vipi polisi wanaweza kupata taarifa ya kichaa chako kilichoibiwa .

Siku hizi kesi zimekua nyingi za wizi wa simu Yani zimekua kha kesi za utapeli nyingi mnoo..!! Ila imekuwaje nimekuja na makala hii ni Yako

ikiwa umeibiwa au kupotea maana wabongo mnapenda kujuzwa

Unapoenda kutoka taarifa ya kifaa chako kimeibiwa polisi watataka risiti uliyonunulia na taarifa za hicho kifaa ukiwa hauna basi jua utapigwa kalenda inshu yako mpaka ukome labda huwe huko vizuri zaidi.

Ikiwa Simu itaibiwa basi Kuna kitu kinaitwa IMEI number international mobile equipment identity. Ni nambaa za kipeke Katika Kila kifaa Cha Simu ambacho hakiwezi kufanana na kifaa chengine.

Polisi uchukua IMEI namba kisha wanaangalia kwenye database kupitia operator mbalimbali nchini ambao ni tigo voda , Airtel , halotel na nk.

Ambao watoa huduma wa mitandao mbalimbali huweza kuwapa taarifa polisi kuhusu nambaa ya simu ya kifaa kilichoibiwa , sms anazo chart na watu , location pamoja na call logs zake anazopiga au kupigiwa.

Polisi wao wanaangalia nambaa zako muhimu unazotumia kuwasiliana na watu Kisha wao wanaanza kuwasumbua ndugu jamaa au rafiki zako kwa namna yoyote hile mpaka wakupate pia ukiwa online wanajua eneo ulilopo basi wanakutimbia .

Hivyo polisi wao wanashilikiana na watoa huduma mbalimbali za Simu kuweza kupata taarifa za kifaa kilichopotea ndipo mtuhumiwa anadakwa kwa style hiyo

Ebu tuambie ulikua unalijua ili au ndo nakufumbua macho tuachie maoni yako ?

Teknolojia ni Yetu Sote
 
MAKAMPUNI YA SIMU LAZIMA YALINDE FARAGHA ZA MTEJA AU IMEKAAJE WADAU???
 
Ujue yafutayo
1 -ukinunua cm rekodi IMEI namba yako na tunza vizuri risiti

ukienda kwao ukaonesha hayomambo kesi yasimu imekwisha na uwe na laki ya mzunguko wake Askari utayepewa

Kwani atapeleka IMEI nambayako kwamakampuni yamtandao yoooooote endapo yule mwizi ameweka line au aliyeuziwa kaweka line ,Basi uingizwaji IMEI namba simu inasoma line zilizomo kwenye simu ,kikubwa uwe napesa polisi wetu wemasana ukiwa na mshiko watakukamatia huyo location zitaza kusoma ,sikumbili watakwambia mtuwako tunae ujehapa kituoni


Note: triangulation imefanyika

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Ujue yafutayo
1 -ukinunua cm rekodi IMEI namba yako na tunza vizuri risiti

ukienda kwao ukaonesha hayomambo kesi yasimu imekwisha na uwe na laki ya mzunguko wake Askari utayepewa

Kwani atapeleka IMEI nambayako kwamakampuni yamtandao yoooooote endapo yule mwizi ameweka line au aliyeuziwa kaweka line ,Basi uingizwaji IMEI namba simu inasoma line zilizomo kwenye simu ,kikubwa uwe napesa polisi wetu wemasana ukiwa na mshiko watakukamatia huyo location zitaza kusoma ,sikumbili watakwambia mtuwako tunae ujehapa kituoni


Note: triangulation imefanyika

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Hawa network provider wanatumia software gan ambayo wakiingiza imei namba inadetect line inayotumika kwny cm husika?

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Ukiita software gani ni kama unaunajifunga sehemu ndogo isiyo na jibu.

Provider kama tigo kwenye database yao wanawajua wateja wao,sababu kila line ili iwe hewani inatumia kifaa maalumu ambacho ni simu yenye identity maalumu na pekee.

Namba hiyo iko kwenye makaratasi ya TCRA pia, ila ili ujue kama iko active lazima uende kwa wenye mitandao voda,tigo,airtel nk

polisi wamepewa ile dhamana ya kukabidhiwa hizo taarifa kwa kibali maalumh kwa shughuli za kiusalama.
 
Hawa network provider wanatumia software gan ambayo wakiingiza imei namba inadetect line inayotumika kwny cm husika?

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
ukiita software gani ni kama unaunajifunga sehemu ndogo isiyo na jibu.

provider kama tigo kwenye database yao wanawajua wateja wao,sababu kila line ili iwe hewani inatumia kifaa maalumu ambacho ni simu yenye identity maalumu na pekee.

namba hiyo iko kwenye makaratasi ya TCRA pia,ila ili ujue kama iko active lazima uende kwa wenye mitandao voda,tigo,airtel nk

polisi wamepewa ile dhamana ya kukabidhiwa hizo taarifa kwa kibali maalumh kwa shughuli za kiusalama.
 
Police Wanauwezo wa kujua simu husika ipo wapi kwa kutumia technology inayoitwa Triangular (popote ulipo simu yako inawasiliana na Network kwa kutumia minara mitatu. Hivyo hii uwasaidia kujua location ulipo na kuweza kukufuatilia- Kwa Tanzania Police wanaweza kusaidia upate simu yako iliyopotea- mfano nna ndugu yangu aliibiwa Simu ikiwa kwenye gari aliweza ipata na kumkamata alieiiba! Kama unafuatilia vyombo vya habari ata muuwaji mmoja wa tajiri wa madini wa Arusha alikamatwa Kigoma baada ya police kufuatilia kutokana na simu yake.
 
Ujue yafutayo
1 -ukinunua cm rekodi IMEI namba yako na tunza vizuri risiti

ukienda kwao ukaonesha hayomambo kesi yasimu imekwisha na uwe na laki ya mzunguko wake Askari utayepewa

Kwani atapeleka IMEI nambayako kwamakampuni yamtandao yoooooote endapo yule mwizi ameweka line au aliyeuziwa kaweka line ,Basi uingizwaji IMEI namba simu inasoma line zilizomo kwenye simu ,kikubwa uwe napesa polisi wetu wemasana ukiwa na mshiko watakukamatia huyo location zitaza kusoma ,sikumbili watakwambia mtuwako tunae ujehapa kituoni


Note: triangulation imefanyika

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Ukiibiwa simu, fanya mpango ununue nyingine. Gharama utakazotumia kumpa mpelelezi zinazidi gharama ya simu mbili kama uliyoibiwa

Usijesema sijawahi kukushauri
 
Hivi polisi wanawezaje kupata Simu iliyoibiwa

Nazani kichwa Cha habari kinaeleweka ?
Au basi ngoja nikuulize tena Umeshawahi kujiuliza ni vipi polisi wanaweza kupata taarifa ya kichaa chako kilichoibiwa .

Siku hizi kesi zimekua nyingi za wizi wa simu Yani zimekua kha kesi za utapeli nyingi mnoo..!! Ila imekuwaje nimekuja na makala hii ni Yako

ikiwa umeibiwa au kupotea maana wabongo mnapenda kujuzwa

Unapoenda kutoka taarifa ya kifaa chako kimeibiwa polisi watataka risiti uliyonunulia na taarifa za hicho kifaa ukiwa hauna basi jua utapigwa kalenda inshu yako mpaka ukome labda huwe huko vizuri zaidi.

Ikiwa Simu itaibiwa basi Kuna kitu kinaitwa IMEI number international mobile equipment identity. Ni nambaa za kipeke Katika Kila kifaa Cha Simu ambacho hakiwezi kufanana na kifaa chengine.

Polisi uchukua IMEI namba kisha wanaangalia kwenye database kupitia operator mbalimbali nchini ambao ni tigo voda , Airtel , halotel na nk.

Ambao watoa huduma wa mitandao mbalimbali huweza kuwapa taarifa polisi kuhusu nambaa ya simu ya kifaa kilichoibiwa , sms anazo chart na watu , location pamoja na call logs zake anazopiga au kupigiwa.

Polisi wao wanaangalia nambaa zako muhimu unazotumia kuwasiliana na watu Kisha wao wanaanza kuwasumbua ndugu jamaa au rafiki zako kwa namna yoyote hile mpaka wakupate pia ukiwa online wanajua eneo ulilopo basi wanakutimbia .

Hivyo polisi wao wanashilikiana na watoa huduma mbalimbali za Simu kuweza kupata taarifa za kifaa kilichopotea ndipo mtuhumiwa anadakwa kwa style hiyo

Ebu tuambie ulikua unalijua ili au ndo nakufumbua macho tuachie maoni yako ?

Teknolojia ni Yetu Sote

D8C0227B-DF96-4B93-8203-87D35FF2BB2C.jpeg


9CB3E7E1-51EB-4454-8317-2EBF1B73627E.png


E5740D9C-4564-4621-AEC2-D3B0D2F68885.jpeg


D46A7995-8D97-4A16-AEBF-A255CAE62BC3.png


3522BB2C-45DD-4CA7-9753-2082982CEEB5.jpeg


B76DD1AF-564F-48F5-9F1E-AECC29AFD108.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom