Hivi Paka wana nini jamani?

Akumbuke vizuri bibi gani jirani alitofautiana nae, akimkumbuka amfuate mchana kweupe ampe makavu...na amwambie kabisa ""nishawaambia ndugu zangu chochote kitachonitokea unahusika"..huyo paka hatarudi.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu nimebaki nacheka tu hapa sina cha kukoment kwa kweli
 
Hii imenitokea mara 2 cku 1 nilikuwa naota ndoto nyevu tunapiga dem mande na mwanangu mara ghafla nikashtuka usingizin mkojo ukawa unanibana nikatoka nje nikakuta paka 3 ambao walikuja ktk zoezi la kujamiiana nilishangaa sana
 
Hii imenitokea mara 2 cku 1 nilikuwa naota ndoto nyevu tunapiga dem mande na mwanangu mara ghafla nikashtuka usingizin mkojo ukawa unanibana nikatoka nje nikakuta paka 3 ambao walikuja ktk zoezi la kujamiiana nilishangaa sana
Mara ya 2 tena nilikuja kuota ndoto km hyo eneo tofauti hyo ilikua nafanya ngono na dem tu mkojo ukanibana kutoka nje nakuta paka wa2
 
Mada ya uongo-uongo, ya kitapeli...

Wanaadamu tunaongea, mbwa wanabweka, ndege wanaimba,nk,nk... kila viumbe wana sauti zao, na hiyo mnayoijadili hapa ndio sauti ya paka.

Au mlitaka alie kama ng'ombe.., wachawi wakubwa nyie!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…