GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,059
- 126,650
- Thread starter
- #81
Kweli mkuu, kuna mambo yanaonekana ya maana kwa muda lakini madhara yake ni ya kudumu kama sio kuangamiza kabisa.
Huyu mleta uzi anawashangaa wadada kupenda kudanganywa wakati yeye hajishangai kudanganya, ajabu sana. Inakuaje mtu ujisifie kufanya zinaa?
Bila Hiyo Zinaa Kufanywa Na Washua Wako Wewe Ungekuwa Unapumua Leo Hii? Zinaa Ndiyo Mpango Mzima Na Naipenda Kupita Maelezo!