Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,402
- 12,787
Hahahahaahaha yaan hapa nawaza wap pa kwenda kupigia pushap jion jion hv
Fainali haipo mbali....
Hahahahaahaha yaan hapa nawaza wap pa kwenda kupigia pushap jion jion hv
Fainali haipo mbali....
Ntakuwa mkongwe kipindi hicho
Una jamaa yako ambaye ni mfanyakazi kwenye baraza la washauri Mbinguni?
Fainali haipo mbali....
nadhani wameongelewa wasichana chini 18 ,na wadada wa kazi za nyumbani hapa , hivi mtu mzima kama mimi unidanganye urongo wa kijingajinga nakupiga maswali wawili tu unatoka Nduki , hayo mimi yule Mjomba wangu , Meli za Baba haihusu kabisa ! wewe nani na unafanya nini kama wewe !
Ntaokoka kabla sijafa......au wachungaji wamesitisha uokokaji?
Kweli mkuu, kuna mambo yanaonekana ya maana kwa muda lakini madhara yake ni ya kudumu kama sio kuangamiza kabisa.
Huyu mleta uzi anawashangaa wadada kupenda kudanganywa wakati yeye hajishangai kudanganya, ajabu sana. Inakuaje mtu ujisifie kufanya zinaa?
Kwani utakufa lini ili niangalie kalenda yangu hapa nikuwekee alarm ili ukikaribia nikualert usisahau kutubu!
We kiumbe, kwani aliyekwambia ukimtongoza mtu lazima akubali ni nani? siwezi kukubali kama sijakupenda, no kulazimishana, na hao unaowaona ukiwadanganya kwa kuwaambia ndege zote za kimataifa unamiliki wewe, usiwafananishe na wale wanawake wanaojitambua na kujithamini, wachache tupo tunajithamini.
Ukimpata huyo wa kudanganywa jua unaendesha gari bovu huku nyuma unabakwi unachekwa na rafiki zako we unaendelea ukijua sifa, kumbe umeliwa. pole.
Mi bado anda eitini
Inahitajika "operation tokomeza wavulana"
Ndio maana una akili ya aina hii....vipi hakuna play station mtaani kwenu ukacheze cheze ili mawazo ya ngono yakutoke ama mama ni mkali hapendi utoke
Seeeh mbona umepata hasira hvo.....au na ww ni mhanga wa kudanganywa?? Usijali....na bado utadanganywa, utakubali na watakunaniliu tu.
Kwan cha ajabu kipi....kufanywa au kufanyana?.....now nimekuelewa na ndo maana unazinguliw coz kama mpaka now una think about kumfanya mtu ww ni mshamba.......siku hiz watu tunafanyana na sio kufanywa
dada wewe kama hii ndiyo lugha yako,Kudadadeki zako mwenyewe .....tena koma uwe unatuheshimu sisi ni dada zako na mama zako
Hata Wewe Huyo Shemeji Yetu Na Yeye Alikupata Kwa SUMU Hizi Hizi Za Kukudanganya Na Ukajaa Kingi AKALA Mzigo Na Sasa Kakuoa.