Hivi nyie wasichana/wanawake mpoje?

Hivi nyie wasichana/wanawake mpoje?

dada wewe kama hii ndiyo lugha yako,
kama una mume kazi anayo.
Kama una jamaa kwa lugha hiyo anytime anakupa red card
jitahidi uwe na flowering language.

Lugha gani? Yey kasema kudadadeki zetu na mimi nikamwambia sio zetu ni zake.... wew unaongelea lugha gani? By the way nimeolewa na nimedum kwenye ndoa miaka 15 so nothing can happen
 
Kwan mi nmesema kuna cha ajabu hapo?? Soma post yangu vzuri ndo ujibu.....sio unarukia tu km komba anarukia mnazi.

Wew ushalewa asubuh asubuhi...tulizana kwan ulivyo quote umeandikaje?
 
Jinsi unavyoandika ndivyo unajionyesha jinsi gani si mvumilivu.
Mwandishi ameandika kutokana na jinsi yalivyomkuta,sasa wewe unamjia juu tu.
Ungemuuliza amekutwa na masahibu gani kuhusu kina dada.cute b.
 
Wew ushalewa asubuh asubuhi...tulizana kwan ulivyo quote umeandikaje?

Hahaha wacha kupanic ww punguza hasira usije ukameza cm apo kwa hasira.....tena ww ndo rahs kabisaaaa kudanganywa....nmeona aise....ngoja nikuwahi chap chap.
 
Jinsi unavyoandika ndivyo unajionyesha jinsi gani si mvumilivu.
Mwandishi ameandika kutokana na jinsi yalivyomkuta,sasa wewe unamjia juu tu.
Ungemuuliza amekutwa na masahibu gani kuhusu kina dada.cute b.

Okay thank you
 
Angalia badala ya sentensi mtatukoma usijekuwa unakomolewa mwenyewe ,utajutaje kumpata mjanja zaidi yako be keen
 
ukitongoza kwa maneno kurushwa kwingi mtengenezee mazingira anzisha vitendo mwenyewe anaendeleza atakuja kujutia baadae
 
Hahaha wacha kupanic ww punguza hasira usije ukameza cm apo kwa hasira.....tena ww ndo rahs kabisaaaa kudanganywa....nmeona aise....ngoja nikuwahi chap chap.

Heheheeee aya mkuu njoo now usipoambulia mkong'otoo
 
Ni by nature mkuu...mwanamke wa kwanza dunian alipigwa sound na mnyama,ila ukwel kutoka kwa MUNGU wakutii aliukataa...kwa hiyo usilaumu wala kushangaa ni asili yao..
 
Mimi huwa nawahurumia sana wanawake Mungu awasaidie, hiki kiungo walichopewa kimewageuza kuwa kama samaki maana hujikuta tayari wameshavuliwa wako nchi kavu tena wanabanikwa kwa kuliwa
 
Wakuu mnatisha ila nikweli mkuu mada yako wanawake wanapenda mali kuliko upendo ukiwa hauna kitu ni shidah ila ukipiga ndogo ndogo anakubali kiulaini ila naona wana matatizo hao uwezo wao wa kutafuta pesa ni mdogo wanataka mwanume awe ndie biashara kwake ukimpata mwanamke wa namna hiyo chapa alafu sepa
 
Back
Top Bottom