Hivi nyie wasichana/wanawake mpoje?

Hivi nyie wasichana/wanawake mpoje?

Ni kwa sura hii ya Mwanamke ndio unapata HAIBA ya WATANZANIA na siasa.Jenga picha ya mwanamke [Mtanzania Mwananchi] na Mwanaume [Mwanasiasa Mtanzania] heeee mbona kibumbi chana mura....ndio maana wachuzi huwa wanachua kuchesa na mindset zetu manake Watanzania kama ni HAIBA [Stereo Type] basi HATUELEWIKI [UNDEFINE] panapo stahiki kusema NO tunamaanisha YES na panapostahiki Tuseme NO tunasema YES.

When a woman says NO she mean YES..............
 
mkuu hii lazima nikaiadisie hahahhahaha nimecheka sana
uwwiiiii
aiseee sisi wanawake hivi huyo dada hata kusoma hajui basi hata picha haoni kwamba kuna wanafunzi ina maana nyinyi nyote ni watoto wa MLINZI
oooh MY GOOSH MY RIBS

nahisi alidhani hivyo sisi sote ni watoto wa huyo mlinzi
 
We mwenyew ni kinda tuu nakukalisha ....huniambii kitu....... heheheeeeeee umeoga bila sabuni babuuu usizani nina muda na go.vi ka wew..... muone kubwa jinga umening'inza tuu bus.ha apo zinatibika wahi tiba

Umeshaninyegesha Kwa Maneno Yako Haya Matamu Kama Vipi Njoo Basi TUMALIZANE Kwa KUHONDOMOLOANA. Umeshabadili Pedi?
 
Ukweli usizidi sana na wala uwongo usizidi sana. Cheza na mazingira na hali iliyopo kwa muda ule.
 
wanawake wanatupenda wanaume ambao hatutabiriki. ukiwa unatabirika, wanawake hawajisikii fresh.<br>lazima awe roho juu juu, ndo wanataka.wanapenda sapraiz.
 
Eeenhe Ulikutana Nae Wapi Story Haijaisha Bado Halafu Unasema Wakati Anakudodosa Ulikuwa Unamkodolea Mimacho Tu Lakini Mwisho Wasiku Umemegeka Si Ndivyo?

Ahahahaha unataka kujua mengi siku nyingine
 
Mjini kama huna hela na gari wadada wote wazuriwazuri utaishia kuwaita shemeji tu
 
Hivi Si Ni Wewe Na Miss Chagga Ndiyo Niliwadanganya Hadi Nika WAHONDOMOLA? Ndiyo Maana Hujui Hata Useme Nini Kwani Uliingia KIBRA!

utakua mbili-kasoro wewe sio bure ..afu ukute hata kutongoza hujui ndomana unakuja na generalizations zako....!
 
Bila Hiyo Zinaa Kufanywa Na Washua Wako Wewe Ungekuwa Unapumua Leo Hii? Zinaa Ndiyo Mpango Mzima Na Naipenda Kupita Maelezo!

Nikijitahidi kukujibu unavyostahili, ntakua sijakutendea haki n huenda nikala bann, na siko tayari kwa hilo.
Huwezi hata kujua maana ya zinaa, ntakua napoteza muda wangu bure. Wewe kupenda sana kitu haimaanishi ni kizuri kwa kila mtu.
 
kuna mwaka 1 nikiwa milambo secondary tabora, miaka ya 90 huko, tukiwa tunajisomea kwenye ukumbi wa chakula usiku kama saa 6 tulisikia kelele za mwanamke zikitokea jikoni, tukashangaa kwani kipindi hicho shule ilikuwa ni ya wavulana tu ikabidi twende jikoni kweli tukakuta mlinzi alikuwa bize akigegeda, ikabidi mlinzi astuke manake hata yeye mwenyewe zile kelele zilimstua akawa anavaa nguo yule dada hoi, nadhani alikutana na mguu wa mtoto, sasa cha ajabu tulipomuuliza kuwa kwanini umekubali kuja shuleni hujataka upelekwe guest akadai kuwa nimeambiwa kuwa hapa ni nyumbani kwake, sasa tukajiuliza mtu aweze miliki majumba yote haya ndo akulaze kwenye mabench, nikasema kweli wanawake bila uongo humpati

nimecheka sanaaaaa!!.
 
Waliumbwa hivyo, ukimuingia na upendo wa ukweli unammboa na atakuita king'ang'anizi ila ingia kwa hit and run uone atavyokuganda!! Tuwapende tu, ni wakwetu hawa hata awe Jemedari wa jeshi we mdanganye kuwa wewe ni mkuu wa majeshi atakukubali tu!!

Jamaa Umenichekesha saaana...anaweza akawa mwalimu alafu wewe mwanafunzi unamdanganya ur headmaster alafu akakubali tu
 
nadhani wameongelewa wasichana chini 18 ,na wadada wa kazi za nyumbani hapa , hivi mtu mzima kama mimi unidanganye urongo wa kijingajinga nakupiga maswali wawili tu unatoka Nduki , hayo mimi yule Mjomba wangu , Meli za Baba haihusu kabisa ! wewe nani na unafanya nini kama wewe !

Mh!,nahisi kama nakujua vile,hebu ni pm vizuri tufahamiane!
 
nadhani wameongelewa wasichana chini 18 ,na wadada wa kazi za nyumbani hapa , hivi mtu mzima kama mimi unidanganye urongo wa kijingajinga nakupiga maswali wawili tu unatoka Nduki , hayo mimi yule Mjomba wangu , Meli za Baba haihusu kabisa ! wewe nani na unafanya nini kama wewe !

Huna lolote, we ndo wale akina ukiniona nimenyasa we niangusage tu upate sambi sako mwenyewe
 
Back
Top Bottom