Weweee mwanaume tumejuana mitandaoni halafu unamadai nifunge safari nije kukuona.
Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...
Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??
Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.
Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox
Sijawahi hata kukuona kwa machooo.
Hii nikali sana .
Je ukiwa mchunaji ngozi,muuza viungo vya watu,muuza wadada wa watu , muuaji,...
Nakama unania nzuri mbona wewe hutaki kuja kumuona msichana??
Watu wengine sio maboya eti jua hilooo.
Jua hilooo.
Wengine akili zinasoma sio mabox