hivi novena niuchawi wakizungu au?

hivi novena niuchawi wakizungu au?

watanzania kupambana na serikali hatuwezi angle pekee ni kujikita kwenye maombi

nb: tunaibiwa uchaguzi miaka na miaka
 
Mungu alishasikia maombi kabla hata ya hiyo Novena. Novena imekuja tu kuongeza nguvu kwasababu zifuatazo:
1. Wakatoliki ni watu watiifu kwa uongozi wa kanisa lao. Hivyo, wakiagizwa kufunga wanafunga kweli na kufuata maelekezo.
2. Wakatoliki ni wengi nchini kuliko Wakristo wengine. Hivyo, wanaposhiriki kwenye maombi hayo pamoja ile nia moja inaleta nguvu kubwa ya Mungu. Hivyo majibu hujidhihirisha mapema zaidi.
 
Mungu alishasikia maombi kabla hata ya hiyo Novena. Novena imekuja tu kuongeza nguvu kwasababu zifuatazo:
1. Wakatoliki ni watu watiifu kwa uongozi wa kanisa lao. Hivyo, wakiagizwa kufunga wanafunga kweli na kufuata maelekezo.
2. Wakatoliki ni wengi nchini kuliko Wakristo wengine. Hivyo, wanaposhiriki kwenye maombi hayo pamoja ile nia moja inaleta nguvu kubwa ya Mungu. Hivyo majibu hujidhihirisha mapema zaidi.
Upo sahihi sana, mzee wa nyumba ni CCM kindakikindaki ila kaagiza chakula kisipikwe mpaka kesho, familia nzima kaifungisha siku nzima ya leo.
 
Mungu alishasikia maombi kabla hata ya hiyo Novena. Novena imekuja tu kuongeza nguvu kwasababu zifuatazo:
1. Wakatoliki ni watu watiifu kwa uongozi wa kanisa lao. Hivyo, wakiagizwa kufunga wanafunga kweli na kufuata maelekezo.
2. Wakatoliki ni wengi nchini kuliko Wakristo wengine. Hivyo, wanaposhiriki kwenye maombi hayo pamoja ile nia moja inaleta nguvu kubwa ya Mungu. Hivyo majibu hujidhihirisha mapema zaidi.
 
Back
Top Bottom