Beauty Eva
Senior Member
- Jul 22, 2016
- 131
- 374
Siku hizi kumekuwa na matangazo katika vyombo vya habari na hata mabango mtaani yamejaa ujumbe unaofanana.
*Ujumbe unaojulisha umma kuwa kuna dawa za kurefusha na kunenepesha uume. Au Ujumbe unaojulisha kuwa, kuna dawa inayoweza kukufanya ukae kifuani kwa mwanamke kwa muda mrefu.
Nani amewaambia uume mrefu na mnene ndo mwanamke anaufurahia? Nani amewaambia kufanya mapenzi kwa Massa mengi ndo ubora wa mapenzi?
Nakutakieni 2018 njema.
Badilikeni. Jifunzeni
*Ujumbe unaojulisha umma kuwa kuna dawa za kurefusha na kunenepesha uume. Au Ujumbe unaojulisha kuwa, kuna dawa inayoweza kukufanya ukae kifuani kwa mwanamke kwa muda mrefu.
Nani amewaambia uume mrefu na mnene ndo mwanamke anaufurahia? Nani amewaambia kufanya mapenzi kwa Massa mengi ndo ubora wa mapenzi?
Nakutakieni 2018 njema.
Badilikeni. Jifunzeni