Hivi ninyi wanaume, mmerogwa?

Hivi ninyi wanaume, mmerogwa?

In evey action there is equal and opposite reaction.... Ukiona wanafanya hivyo sio kwa nafsi zao bali kuna force kutoka upande wa pili
 
Siku hizi kumekuwa na matangazo katika vyombo vya habari na hata mabango mtaani yamejaa ujumbe unaofanana.

*Ujumbe unaojulisha umma kuwa kuna dawa za kurefusha na kunenepesha uume. Au Ujumbe unaojulisha kuwa, kuna dawa inayoweza kukufanya ukae kifuani kwa mwanamke kwa muda mrefu.

Nani amewaambia uume mrefu na mnene ndo mwanamke anaufurahia? Nani amewaambia kufanya mapenzi kwa Massa mengi ndo ubora wa mapenzi?

Nakutakieni 2018 njema.

Badilikeni. Jifunzeni

Sasa sisi ndo tumewatuma hao wanaotangaza?

Kwa nini usiwaulize kama wao ndo wamerogwa kufanya hayo matangazo?

Mbona sisi tunayaona matangazo insta ya kufanya k ibane, kukuza hips, mat.ako, kuondoa michirizi, kukuza boobs, etc hatuwalalamikii nyie?
 
Hawa watu hawaeleweki kabisa. Halafu aliyekwambia unachopenda wewe na wenzio wanapenda ni nani?
 
Hawa watu hawaeleweki kabisa. Halafu aliyekwambia unachopenda wewe na wenzio wanapenda ni nani?
 
HATARI KUBWA YAACHENI KAMA YALIVYO,WENGINE WANATAKA JUA WENGINE MVUA LIPI SASA!
 
Kina cha maji kimeongezeka sana kwa wadada wengi hivyo tunarefusha mpini wa sururu ili kwendana na vina vyenu hasa wakati ambapo mnaanza mapenzi mkiwa primary tu na kutembea na wazee
 
Siku hizi kumekuwa na matangazo katika vyombo vya habari na hata mabango mtaani yamejaa ujumbe unaofanana.

*Ujumbe unaojulisha umma kuwa kuna dawa za kurefusha na kunenepesha uume. Au Ujumbe unaojulisha kuwa, kuna dawa inayoweza kukufanya ukae kifuani kwa mwanamke kwa muda mrefu.

Nani amewaambia uume mrefu na mnene ndo mwanamke anaufurahia? Nani amewaambia kufanya mapenzi kwa Massa mengi ndo ubora wa mapenzi?

Nakutakieni 2018 njema.

Badilikeni. Jifunzeni

Na mm naomba watumie na viagra kabisa tukitoka kukwichi tupepeee na feni
 
Maisha haya ni kuhangaika tu, w'wake wakihangaika kupata chura ili waridhishe w'ume,. Wanaume nao wako bize kutafuta mashine nzuri imridhishe m'mke. Ni kupambana tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom