Hivi nini kilimpata Rais Samia akatoka Kenya na barakoa?

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Oct 26, 2018
21,713
35,525
Maza alienda Uganda akatuaga uwanjani bila barakoa, alipofika kule alivaa coz ni sheria za UG kutokana na kupigwa kiasi na CORONA.

Alirudi bila BARAKOA maisha yakaendelea. Then akaenda Kenya Kwa Kenyatta akavaa barakoa maana wale jamaa walinyooshwa na wanaendelea kunyooshwa vilivyo na hii pandemic.

Sasa baada ya kurudi yaani akili imembadilika kabisa kaja na mitazamo tofauti na alichokiamini kabla na baada ya JPM kuondoka.

Kaanza kusisitiza uwepo wa CORONA wakati sisi raia tunasonga mbele kibingwa, tunabanana kama kawa kwenye vyombo vya usafiri, kumbi za starehe na nyumba za ibada.

Mara ile Tume yake ikaja na mapendekezo kwamba tutambue "uwepo wa covid" nikashangaa hii Tume imefanya kazi kwa weledi au ndio kumfurahisha aliyeiteua??

Hapa mama kingia disco la CHADEMA saa11 asubuhi wakati DJ anapiga ngoma za.kumalizia huku vijana wake wameanza kukusanya spika na nyaya.


Sasa nabaki najiuliza hizi chanjo za nini wakati sisi tupo poa tu yaani tunasonga kibabe mbele ya covid.

Hii MIBARAKOA WACHA WAVAE WANASIASA NA FAMILIA ZAO ILI KUWAFURAHISHA WANAOTAKA TUWE NA KORONA NA MTASHANGAA

"THE SO CALLED NEXT CORONA WAVE HILL HIT REAL HARD " bacause of this so vaccines


Hizo chanjo wajichanje wenyewe na hao walioenda kuzileta.

Watz kwa hili acha nisimame na " mwendazake"

Nimemaliza!!
Screenshot_20210521-173853_Google.jpg
 
Uleeee mkataba hewa wa gesi (air gas contract :) ) alioshikishwa kwa Mr Freedom. Ileee kauli pale Chattle ya ^Tutume, tutaenda^ but sadly, yeye ndiye anatumwa sasa. Kiti ni cha JPM, but kalamu anayoitumia ni ya Mstaafu wa Msoga.
aisee sijui hata kama kwenye hili watz wanamuelewa yaana anatangaza uwepo wa korona wakati nchi ipo salama?!!!
 
Simple walikuwa wanamwogopa Mwendazake, bada ya Mwendazake kuna some inertia kutenda yanayopashwa kuogopa kuwa wameshit ya Mwendazake kumbe walikuwa hawayapendi. With time unazoea kufanya kinyume na Jiwe, and life goes scientifically!
Sasa huyu mama tuliyemwamini ni kama anajivunjia uaminifu wetu kama kuna kikundi kinamshauri kinataka afanye makosa ili wamuadhibu 2025. Na wakae pembeni wamcheke
 
Hotuba yake akiwa anawaapisha mawaziri hukuskia mwelekeo wake kuhusu covid?

Kusema safari ya Kenya imembadilisha ni ujinga mtupu.
Yaani miaka yoote aliamini TZ haina corona anaaminishwa na mwenye nayo??
 
aisee sijui hata kama kwenye hili watz wanamuelewa yaana anatangaza uwepo wa korona wakati nchi ipo salama?!!!


Bi mkubwa does not care whether wanamwelewa au la, alimradi anawafurahisha masponsa wake, that't it. Being people-oriented haiko kwenye priority yake. Ndiyo maana presidents and all important decision-making leaders wanapaswa kuwa vetted vizuri na PUBLIC yenyewe, siyo kupata free lunch kama huyu. People are literally crying following what she is doing --- but she, in turn, is very happy about it. Interesting, right!???
 
Hivi inawezekanaje mkukiri kuwa Kenya na Uganda zilipata serious hit ya corona virus lakini wakati huohuo mnaamini kabisa sisi tulikuwa corona free! Kweli?

Nchi za EA zipo kwenye jiografia zinazofanana, hali ya hewa inafanana, mwingiliano wa watu kutoka nchi moja hadi ingine ni mkubwa afu sisi tuwe corona free? Hakuna kitu kama hicho!

Ndo maana hata aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Kijazi alipata kadhia hiyo. Achaneni na cheap popularity na roho mbaya ya kumchukia Rais wetu mpendwa SSH.

Kama tulikuwa corona free ilikuwaje hayati JPM wakati mambo yakiwa hot kipindi kile akaenda kujifungia Chato?
 
Bi mkubwa does not care whether wanamwelewa au la, alimradi anawafurahisha masponsa wake, that't it. Being people-oriented haiko kwenye priority yake. Ndiyo maana presidents and all important decision-making leaders wanapaswa kuwa vetted vizuri na PUBLIC yenyewe, siyo kupata free lunch kama huyu. People are literally crying following what she is doing --- but she, in turn, is very happy about it. Interesting, right!???
Ila hapa kazingua sana unanunuaje gazeti la kilasiku saa12???
 
Watanzania kuna mambo wanahitaji elimu tena hasa, huwezi kusema Tanzania hakuna Corona..
Corona huja na mawimbi.. Ukiona mtaani huumwi na huu ugonjwa kwanza shukuru Mungu maana kinga yako ipo imara sana
Mwezi wa December mpaka March 2021 tulikumbwa na wimbi la pili baya Sana.. Tena hatukujiandaa kisa Mwendazake kasema hakuna corona.. Tulipoteza watu wengi.. Hatuna data muhimu za kumbukumbu.
Wimbi la tatu linakuja.. Chanjo sio lazima.. Ni uhuru wa mtu kuamua kuchanja ama la.. Ni vizuri kujihami mapema.. Kwa maelekezo ya wataalamu
 
Maza alienda Uganda akatuaga uwanjani bila barakoa, alipofika kule alivaa coz ni sheria za UG kutokana na kupigwa kiasi na CORONA.

Alirudi bila BARAKOA maisha yakaendelea. Then akaenda Kenya Kwa Kenyatta akavaa barakoa maana wale jamaa walinyooshwa na wanaendelea kunyooshwa vilivyo na hii pandemic.

Sasa baada ya kurudi yaani akili imembadilika kabisa kaja na mitazamo tofauti na alichokiamini kabla na baada ya JPM kuondoka.

Kaanza kusisitiza uwepo wa CORONA wakati sisi raia tunasonga mbele kibingwa, tunabanana kama kawa kwenye vyombo vya usafiri, kumbi za starehe na nyumba za ibada.

Mara ile Tume yake ikaja na mapendekezo kwamba tutambue "uwepo wa covid" nikashangaa hii Tume imefanya kazi kwa weledi au ndio kumfurahisha aliyeiteua??

Hapa mama kingia disco la CHADEMA saa11 asubuhi wakati DJ anapiga ngoma za.kumalizia huku vijana wake wameanza kukusanya spika na nyaya.


Sasa nabaki najiuliza hizi chanjo za nini wakati sisi tupo poa tu yaani tunasonga kibabe mbele ya covid.

Hii MIBARAKOA WACHA WAVAE WANASIASA NA FAMILIA ZAO ILI KUWAFURAHISHA WANAOTAKA TUWE NA KORONA NA MTASHANGAA

"THE SO CALLED NEXT CORONA WAVE HILL HIT REAL HARD " bacause of this so vaccines


Hizo chanjo wajichanje wenyewe na hao walioenda kuzileta.

Watz kwa hili acha nisimame na " mwendazake"

Nimemaliza!!View attachment 1792943


Sasa inamaana hujui kwamba kuna kamati imeundwa na kutoa mapendekezo! Sasa nenda kamsikilize Dr fake Gwajima ambaye hajasoma hata A-level ! Wengine tunafuata wataalamu na hata watoto wako usiwape chanjo.
 
Hivi inawezekanaje mkukiri kuwa Kenya na Uganda zilipata serious hit ya corona virus lakini wakati huohuo mnaamini kabisa sisi tulikuwa corona free! Kweli? Nchi za EA zipo kwenye jiografia zinazofanana, hali ya hewa inafanana, mwingiliano wa watu kutoka nchi moja hadi ingine ni mkubwa afu sisi tuwe corona free? Hakuna kitu kama hicho! Ndo maana hata aliyekuwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Kijazi alipata kadhia hiyo. Achaneni na cheap popularity na roho mbaya ya kumchukia Rais wetu mpendwa SSH.
Kama tulikuwa corona free ilikuwaje hayati JPM wakati mambo yakiwa hot kipindi kile akaenda kujifungia Chato?
Sijasema tulikua corona free ila the magnitude ya tatizo haikua kubwa back then ukilinganisha na wenzetu. Tuachana na ya nyuma je saivi tunahitaji barakoa? Je, kuna watu wanaanguka njiani kama majirani?
Je, tunahitaji hio kinga ambayo nchi walizoanza kuzitumia hazijaoneaha ufanisi na wanadai zinasababisha mabadiliko ya mzunguko wa hedhi kwa wanawake (hii imelalamikiwa na Wakenya),

Marekani wanadai vaccines zinasababisha ugumba.

Kama chanjo ni kinga mbona waliochanjwa bado wanashinda na MIBARAKOA??

toa ushabiki wa chama jadili mada ya mezani
 
Watanzania kuna mambo wanahitaji elimu tena hasa, huwezi kusema Tanzania hakuna Corona..
Corona huja na mawimbi.. Ukiona mtaani huumwi na huu ugonjwa kwanza shukuru Mungu maana kinga yako ipo imara sana
Mwezi wa December mpaka March 2021 tulikumbwa na wimbi la pili baya Sana.. Tena hatukujiandaa kisa Mwendazake kasema hakuna corona.. Tulipoteza watu wengi.. Hatuna data muhimu za kumbukumbu.
Wimbi la tatu linakuja.. Chanjo sio lazima.. Ni uhuru wa mtu kuamua kuchanja ama la.. Ni vizuri kujihami mapema.. Kwa maelekezo ya wataalamu


Namwelewa sana yule jamaa bingwa alisema hapa juzi kati ^Tokeni huko na mawimbi yenu^
 
Sasa inamaana hujui kwamba kuna kamati imeundwa na kutoa mapendekezo! Sasa nenda kamsikilize Dr fake Gwajima ambaye hajasoma hata A-level ! Wengine tunafuata wataalamu na hata watoto wako usiwape chanjo.


My understanding of JPM kuhusu korona ni ile kauli yake makini: ^Tunaweza kuishi na ugonjwa huu kama magonjwa mengine. Tusitishane! Tusiambukizane hofu tukadhani ndiyo korona!^ And the reason was very simple: Hauna athari KUBWA kama wanavyotishia hao the so-called wataalamu.
 
Mwendazake alisikika akisema mimi sitishiki!. Huenda mama alipoenda huko akakutana na wawakilishi wa mabeberu akatishwa.Hapa simlaumu maana ni binadamu na ana familia.

Sababu zingine anazijua mama yetu,hauwezi kuyajua mpaka ufunuo.

Ila sijui sana hii kamati kama imeangalia kule mbele au wamezingatia tu ya kumfurahisha mama.

Wanataka serikali itangaze uwepo wa corona,kwani ilikuwa haijui? Mwendazake aliitisha maombi ya siku 3 kufunga kwa ajili ya nini? Wao walikuwa wapi? Wao kama hawaamini uwepo wa Mungu na kwamba aliiponya nchi watuache tuendelee kumwamini huyu Mungu maana maisha yetu yanaendelea kama kawaida,hatuvai barakoa na tunanawa mikono wakati wa msosi tu.

wanataka itangaze visa maana yake vile vipimo vya papai kuwa postive vitumike, maana yake itaonekana wimbi la 3 latua TZ kumbe hewa.

Kitakachofuata shule,vyuo vifungwe.Safari hii makanisa na miskiti itafungwa kuwafurahisha watoa pesa.

watasema haitoshi chanja watu wako haraka halafu mlipoko mkubwa zaidi,watasema ifunge Dar,na Mwanza,pia Mbeya,maana milipuko ni mikubwa.

Azima yao ya kuuza mask,chanjo,na mikopo ya riba kusaidia uchumi,maana utaharibika kwa kweli.

swali hivyi kiliwauma sana kuona nchi inaingia uchumi wa kati wakati kukiwa na corona? Hao ndo maprof wetu walivalia mibarakoa mikubwa kama chapati.
 
Watanzania kuna mambo wanahitaji elimu tena hasa, huwezi kusema Tanzania hakuna Corona..
Corona huja na mawimbi.. Ukiona mtaani huumwi na huu ugonjwa kwanza shukuru Mungu maana kinga yako ipo imara sana
Mwezi wa December mpaka March 2021 tulikumbwa na wimbi la pili baya Sana.. Tena hatukujiandaa kisa Mwendazake kasema hakuna corona.. Tulipoteza watu wengi.. Hatuna data muhimu za kumbukumbu.
Wimbi la tatu linakuja.. Chanjo sio lazima.. Ni uhuru wa mtu kuamua kuchanja ama la.. Ni vizuri kujihami mapema.. Kwa maelekezo ya wataalamu
Haya mawimbi ni fake news ili mnunue madawa yao, kila likipita moja bila madhara makubwa wanatutishia jingine ili wauze
 
My understanding of JPM kuhusu korona ni ile kauli yake makini: ^Tunaweza kuishi na ugonjwa huu kama magonjwa mengine. Tusitishane! Tusiambukizane hofu tukadhani ndiyo korona!^ And the reason was very simple: Hauna athari KUBWA kama wanavyotishia hao the so-called wataalamu.
Yes sometimes unakufa kwa kutiwa hofu tu kwamba unangoma unaanza kugoma kula unajikondea kumbe kipimo kilidanganya ukiambiwa we ni mzima unashanga appetite inakuja yenyewe unanenepa tema
 
Maza alienda Uganda akatuaga uwanjani bila barakoa, alipofika kule alivaa coz ni sheria za UG kutokana na kupigwa kiasi na CORONA.

Alirudi bila BARAKOA maisha yakaendelea. Then akaenda Kenya Kwa Kenyatta akavaa barakoa maana wale jamaa walinyooshwa na wanaendelea kunyooshwa vilivyo na hii pandemic.

Sasa baada ya kurudi yaani akili imembadilika kabisa kaja na mitazamo tofauti na alichokiamini kabla na baada ya JPM kuondoka.

Kaanza kusisitiza uwepo wa CORONA wakati sisi raia tunasonga mbele kibingwa, tunabanana kama kawa kwenye vyombo vya usafiri, kumbi za starehe na nyumba za ibada.

Mara ile Tume yake ikaja na mapendekezo kwamba tutambue "uwepo wa covid" nikashangaa hii Tume imefanya kazi kwa weledi au ndio kumfurahisha aliyeiteua??

Hapa mama kingia disco la CHADEMA saa11 asubuhi wakati DJ anapiga ngoma za.kumalizia huku vijana wake wameanza kukusanya spika na nyaya.


Sasa nabaki najiuliza hizi chanjo za nini wakati sisi tupo poa tu yaani tunasonga kibabe mbele ya covid.

Hii MIBARAKOA WACHA WAVAE WANASIASA NA FAMILIA ZAO ILI KUWAFURAHISHA WANAOTAKA TUWE NA KORONA NA MTASHANGAA

"THE SO CALLED NEXT CORONA WAVE HILL HIT REAL HARD " bacause of this so vaccines


Hizo chanjo wajichanje wenyewe na hao walioenda kuzileta.

Watz kwa hili acha nisimame na " mwendazake"

Nimemaliza!!View attachment 1792943
Mama katoka ke imani yake ikawa imeisha, kalishwa matango pori ya kufa mtu. Ke wanajua lobying, huwenda kuna third party iliitumia ke kama daraja la kupitisha chanjo na kuleta taharuki mpya kwa wananchi.
Ile tume kimeo ya covid ilikuja na blaablaa za kufa MTU. Tatizo mama hasimami yeye kama yeye, ndiyo mwenye maono, ila jakaya anampoteza kinyama.
Mama hajui kuwa jakaya ni atimagu, anatakiwa atumie akili zake aachane na za kuambiwa sana.
Rip Magu
 
Mwendazake alisikika akisema mimi sitishiki!. Huenda mama alipoenda huko akakutana na wawakilishi wa mabeberu akatishwa.Hapa simlaumu maana ni binadamu na ana familia.
Sababu zingine anazijua mama yetu,hauwezi kuyajua mpaka ufunuo.
Ila sijui sana hii kamati kama imeangalia kule mbele au wamezingatia tu ya kumfurahisha mama.
Wanataka serikali itangaze uwepo wa corona,kwani ilikuwa haijui? Mwendazake aliitisha maombi ya siku 3 kufunga kwa ajili ya nini? Wao walikuwa wapi? Wao kama hawaamini uwepo wa Mungu na kwamba aliiponya nchi watuache tuendelee kumwamini huyu Mungu maana maisha yetu yanaendelea kama kawaida,hatuvai barakoa na tunanawa mikono wakati wa msosi tu.
wanataka itangaze visa maana yake vile vipimo vya papai kuwa postive vitumike, maana yake itaonekana wimbi la 3 latua TZ kumbe hewa.
Kitakachofuata shule,vyuo vifungwe.Safari hii makanisa na miskiti itafungwa kuwafurahisha watoa pesa.
watasema haitoshi chanja watu wako haraka halafu mlipoko mkubwa zaidi,watasema ifunge Dar,na Mwanza,pia Mbeya,maana milipuko ni mikubwa.
Azima yao ya kuuza mask,chanjo,na mikopo ya riba kusaidia uchumi,maana utaharibika kwa kweli.
swali hivyi kiliwauma sana kuona nchi inaingia uchumi wa kati wakati kukiwa na corona? Hao ndo maprof wetu walivalia mibarakoa mikubwa kama chapati.
Mkuu hapa nimekuelewa saana

hapa tunatishana tu Ndio maana JPM hakupenda kwenda huko nje. Mama "kafungua nchi" anaanza na mavitisho ya corona as if ndio imeanza baada ya ziara yake Kenya
 
Back
Top Bottom