EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Maza alienda Uganda akatuaga uwanjani bila barakoa, alipofika kule alivaa coz ni sheria za UG kutokana na kupigwa kiasi na CORONA.
Alirudi bila BARAKOA maisha yakaendelea. Then akaenda Kenya Kwa Kenyatta akavaa barakoa maana wale jamaa walinyooshwa na wanaendelea kunyooshwa vilivyo na hii pandemic.
Sasa baada ya kurudi yaani akili imembadilika kabisa kaja na mitazamo tofauti na alichokiamini kabla na baada ya JPM kuondoka.
Kaanza kusisitiza uwepo wa CORONA wakati sisi raia tunasonga mbele kibingwa, tunabanana kama kawa kwenye vyombo vya usafiri, kumbi za starehe na nyumba za ibada.
Mara ile Tume yake ikaja na mapendekezo kwamba tutambue "uwepo wa covid" nikashangaa hii Tume imefanya kazi kwa weledi au ndio kumfurahisha aliyeiteua??
Hapa mama kingia disco la CHADEMA saa11 asubuhi wakati DJ anapiga ngoma za.kumalizia huku vijana wake wameanza kukusanya spika na nyaya.
Sasa nabaki najiuliza hizi chanjo za nini wakati sisi tupo poa tu yaani tunasonga kibabe mbele ya covid.
Hii MIBARAKOA WACHA WAVAE WANASIASA NA FAMILIA ZAO ILI KUWAFURAHISHA WANAOTAKA TUWE NA KORONA NA MTASHANGAA
"THE SO CALLED NEXT CORONA WAVE HILL HIT REAL HARD " bacause of this so vaccines
Hizo chanjo wajichanje wenyewe na hao walioenda kuzileta.
Watz kwa hili acha nisimame na " mwendazake"
Nimemaliza!!
Alirudi bila BARAKOA maisha yakaendelea. Then akaenda Kenya Kwa Kenyatta akavaa barakoa maana wale jamaa walinyooshwa na wanaendelea kunyooshwa vilivyo na hii pandemic.
Sasa baada ya kurudi yaani akili imembadilika kabisa kaja na mitazamo tofauti na alichokiamini kabla na baada ya JPM kuondoka.
Kaanza kusisitiza uwepo wa CORONA wakati sisi raia tunasonga mbele kibingwa, tunabanana kama kawa kwenye vyombo vya usafiri, kumbi za starehe na nyumba za ibada.
Mara ile Tume yake ikaja na mapendekezo kwamba tutambue "uwepo wa covid" nikashangaa hii Tume imefanya kazi kwa weledi au ndio kumfurahisha aliyeiteua??
Hapa mama kingia disco la CHADEMA saa11 asubuhi wakati DJ anapiga ngoma za.kumalizia huku vijana wake wameanza kukusanya spika na nyaya.
Sasa nabaki najiuliza hizi chanjo za nini wakati sisi tupo poa tu yaani tunasonga kibabe mbele ya covid.
Hii MIBARAKOA WACHA WAVAE WANASIASA NA FAMILIA ZAO ILI KUWAFURAHISHA WANAOTAKA TUWE NA KORONA NA MTASHANGAA
"THE SO CALLED NEXT CORONA WAVE HILL HIT REAL HARD " bacause of this so vaccines
Hizo chanjo wajichanje wenyewe na hao walioenda kuzileta.
Watz kwa hili acha nisimame na " mwendazake"
Nimemaliza!!