EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,530
- Thread starter
- #41
Ukichanjwa unapataje maana huwezi kuambukizwa wala kuambukizaKama wewe huwezi dhurika na corona baada ya chanjo lakini unaweza ambukiza ambao hawana chanjo je unatakiwa uvae au usivae barakoa? Hiyo chanjo unajua inavyofanya kazi au umesikia kwa yule Gwajiboy mwana gang mwenzio!