Kapepo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,063
- 1,188
Habari wakuu wa kazi, iko hivi nimeanza mahusiano tangu nipo kidato cha tatu hadi hivi sasa nimemaliza chuo nipo kazini lakini wasichana wangu wote niliokuwa nao kwenye mahusiano wamekuwa ni watu wa kupandisha mashetani sijui hii imekaaje kila demu ninaye date nae lazima atakuwa na hii shida mfano huyu nilie nae sasa nae yupo ivyo ivyo juzi kanitext anasema sikuizi akikaa anajisikia kupiga kelele pia anakula sana mkaa na sabuni hizi za vipande nyeupe amekuwa anapenda sana nafikiria kumuacha hasijie niletea balaa zaidi huko mbeleni wakuu nisaidieni jmn natafuta msichana alietulia hasiekuwa na mawenge haya.