aah hilo liko wazi calvary tutakua pamoja mbona ๐Au sio ๐๐๐๐
Huyo tumbili ana mkia mzuriaah hilo liko wazi calvary tutakua pamoja mbona ๐
sina maoni ๐Huyo tumbili ana mkia mzuri
Fanya namna wadogo zake waondoke ukishindwa kula wadogo zake{Mods naomben mnisahishie hapo kwenye heding badala ya zako weken zake} aya twende kwenye mada: Yaan ile umejenga nyumba wewe mwanaume umeoa na umeruhusu kukaa na shemeji zako baada ya muda mrefu mke anaanza tabia ya kuhamisha vitu vyake chumbani kwenu na kuvipeleka chumbani kwa wadogo zake na anapoenda kazini asubuh akioga anavalia chumba cha wadogo na akirudi vitu anaacha hukohuko, mfano ndio wewe ni mkeo anafanya hayo unachukua uamuzi gani? Au itakuwa ni sahihi kwako
Sema jambo baba mtumishi sijakuzoea hivo ๐๐๐๐sina maoni ๐
hivi umefunga Kweli wew ๐Sema jambo baba mtumishi sijakuzoea hivo ๐๐๐๐
Mengi ni meaninglessMalalamiko ya wanaume yamekuwa ni mengi sana kuliko ke
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Nimefunga kwan nimefanyaje??hivi umefunga Kweli wew ๐
Wewe ndo mmbulu mwenye akili hapa JFhebu muwekee dressing table yenye mahitaji ya mwanamke na utakua umetibu hiyo shida ๐
kule anafata lipstick ๐ and shines za rangi anazopenda coz wadogo zake wanazo kama zote wamenunuliwa na ma boyfriend zao, mafuta mazuri ya kupaka, pafyumu zinazonukia vizuri, kurekebishwa nywele na saa zingine ana vaa ata nguo na viatu vya kisasa za wadogo zake kwasabb labda umekosa kumuwezesha nae awe nazo....
Lakini pia zile nguo zake anaziacha kule wadogo zake wanamsaidia wanamfulia ๐
so,
My friend,
rekebisha hiyo tu, hutamuona tena huko kwa wadogo zake. Mambo mengine haitaki maneno ni vitendo kidogo tu ๐
labda umefunga mlango ๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Nimefunga kwan nimefanyaje??
Nimefunga bana km hutaki bhasi ๐คฃ๐คฃ๐คฃlabda umefunga mlango ๐
jitahidi uwe unafunga mtumishi ni muhimu sana ๐
๐คlakini na we comrade saa zingine una matani rejareja ya kikabila lakini yenye chembe chembe za kaukweli hivi ndani yake ๐Wewe ndo mmbulu mwenye akili hapa JF
Kabisa uko sahihi binti swala dgo tu km hili kweli unakuja kuomba msaada humu ilitakiwa na wewe unahamishia nguo zako huko bila kumuambia chochote mnakutana tu wakat wa kubadilishaKwasababu akili hawana.
vip umeshamaliza ๐Nimefunga bana km hutaki bhasi ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Kwaresima haijaisha na nikimaliza naunganisha Ramadhani ๐vip umeshamaliza ๐