Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Unaleta malaika wa Mungu ili aje arithi nini katika nchi hii?
Hawa watoto tunaowazaa watarithi nini katika nchi hii kama hatuko serious na maliasili za nchi hii?
Vizazi vijavyo vitakuwa na hamu hata ya kusafisha makaburi yetu?
Ya mjengoni yanasikitisha na kuumiza sana!!
Hawa watoto tunaowazaa watarithi nini katika nchi hii kama hatuko serious na maliasili za nchi hii?
Vizazi vijavyo vitakuwa na hamu hata ya kusafisha makaburi yetu?
Ya mjengoni yanasikitisha na kuumiza sana!!