Emmanuel180
JF-Expert Member
- Dec 17, 2019
- 342
- 626
Jaman, Asalaam aleikhum wale waislam na Tumsifu yesu kristo kwa wale wakristo mimi swali langu ni je?
Kama ni sahihi kuanzisha kanisa lako pale unapojihisi una upako wa roho mtakatifu?
Kama ni Yes je siku ya hukumu tutahukumiwa kwa imani zetu au kwa imani zetu na madhehebu yetu piaa kumekua na wimbi kubwa la watumishi ambao wanajiita watumishi wa Mungu mimi siwezi kusema ama ndio ama sio lakini maandiko yanasema
JIHADHARINI NA MANABII WA UONGO
Maana siku za mwishi watakuja wengi wakijiita manabii,
Naona sasa kuna watu wanachukua advantage ya ujinga wa watu fulani kama Fursa pia.
Kama ni sahihi kuanzisha kanisa lako pale unapojihisi una upako wa roho mtakatifu?
Kama ni Yes je siku ya hukumu tutahukumiwa kwa imani zetu au kwa imani zetu na madhehebu yetu piaa kumekua na wimbi kubwa la watumishi ambao wanajiita watumishi wa Mungu mimi siwezi kusema ama ndio ama sio lakini maandiko yanasema
JIHADHARINI NA MANABII WA UONGO
Maana siku za mwishi watakuja wengi wakijiita manabii,
Naona sasa kuna watu wanachukua advantage ya ujinga wa watu fulani kama Fursa pia.