Hivi ni nani wa kwanza kushiba?

Makachu

JF-Expert Member
Aug 2, 2022
431
424
Habari Wadau,

Kwa kawaida katika swala zima la mahusiano ya kimapenzi aidha baina ya wanandoa, au wachumba wanaoishi pamoja au wale wana waliovuta mtoto wa kike (demu) na kuishi nae geto.

Kwa kawaida kunakuwa na zile moment za hao wapendanao kuwa wanakula pamoja nyumbani aidha chakula cha mchana au jioni.

Sasa katika moment hizi wakati mnakula pamoja. Je, kiuhalisia nani anayestahili kuwa wa kwanza kushiba? Yani kumuachia mwenzake chakula.

1)Mwanaume ndiye anayestahili kushiba na kumuachia mwanamke chakula? Au,

2)Mwanamke ndiye anayestahili kushiba na kumuachia mwanaume chakula. Au,

3)Wote wale mpaka mwisho, au wote wale hadi watakapojihisi wameshiba kwa pamoja? Au,

4)Mmoja aanze kushiba na mwengine aendelee kidogo na msosi kisha ashibe aache chakula?

Nipeni majibu wataalamu.

Maana kuna baadhi ya wanawake wako vizuri kwa kula kama wanaume jinsi wanavyokula au hata kushinda wanaume.
 
Habari Wadau,

Kwa kawaida katika swala zima la Mahusiano ya kimapenzi aidha baina ya Wanandoa, au Wachumba wanaoishi pamoja au wale Wana Waliovuta Mtoto wa Kike(Demu) na kuishi nae Geto.

Kwa kawaida kunakuwa na zile Moment za hao wapendanao kuwa wanakula pamoja nyumbani aidha chakula cha mchana au jioni

Sasa katika Moment hizi wakati mnakula pamoja. Je, kihalisia nani anayestahili kuwa wa kwanza kushiba? Yani kumuachia Mwenzake chakula.

1)Mwanaume ndiye anayestahili kushiba na kumuachia Mwanamke Chakula? Au

2)Mwanamke ndiye anayestahili kushiba na kumuachia Mwanaume chakula. Au

3)Wote wale Mpaka Mwisho, au wote wale hadi watakapojihisi wameshiba kwa pamoja? Au

4)Mmoja aanze kushiba na mwengine aendelee kidogo na msosi kisha ashibe aache chakula?

Nipeni Majibu wataalamu.
Upo darasa la ngapi? By the way chakula mezani kila mtu anajisevia Kwa kipimo chake, sijui unaishi maisha ya aina gani?

Hata kwenye shuguri za misiba hitima na maulidi watu wameadvance kila mtu anagaiwa sahani yake hakuna ile gombania goli ya sinia.
 
Inategemea na Ntu na Ntu.
Mimi babe wangu hapendi kula mwenyewe nyumbani, na anajua mimi sio mlaji kiviiile.
So tukiwa tunakula nashiba zangu namwacha anaendelea. Ila sitoki mezani mpaka na yeye amalize.

Na siku akishiba mapema kabla yangu huwa anapata tabu sana, maana nitamlisha hadi na mimi nishibe.
 
Upo darasa la ngapi? By the way chakula mezani kila mtu anajisevia Kwa kipimo chake, sijui unaishi maisha ya aina gani?

Hata kwenye shuguri za misiba hitima na maulidi watu wameadvance kila mtu anagaiwa sahani yake hakuna ile gombania goli ya sinia.
Kwahiyo kula pamoja na Mpenzi wako ni vibaya? Elewa nilichokisema kwenye Mada, mi naongelea kula pamoja. Kila mtu na sahani yake nafahamu.
 
Inategemea na Ntu na Ntu.
Mimi babe wangu hapendi kula mwenyewe nyumbani, na anajua mimi sio mlaji kiviiile.
So tukiwa tunakula nashiba zangu namwacha anaendelea. Ila sitoki mezani mpaka na yeye amalize.

Na siku akishiba mapema kabla yangu huwa anapata tabu sana, maana nitamlisha hadi na mimi nishibe.
Wewe upo kama Babe yangu mie
 
Dah! asee haya mambo pia kumbe yanahitajigi kujadiliwa he! me niliwahi kuishi mwanamke almost 3yrs and our life was good at all na hayo masuala ya nani awe wa kwanza kushiba sijawahi hata kujiuliza ila me naona yeyote anaweza kutangulia kushiba japo sina kumbukumbu ni nani aliekuwa anashiba kabla ya mwenzake nafikiri wote ni sawa tu, ila nikijaribu kufikiria kiukweli kuna wanawake ambao wanakula sana na hiyo huwa haipendezi kwa kweli 😁😁😁 "Mungu niepushe na wanawake wanaokula sana kunizidi"
 
Never eat the last piece of something you didn't buy.

"Unspoken rule for Men".
 
Dah! asee haya mambo pia kumbe yanahitajigi kujadiliwa he! me niliwahi kuishi mwanamke almost 3yrs and our life was good at all na hayo masuala ya nani awe wa kwanza kushiba sijawahi hata kujiuliza ila me naona yeyote anaweza kutangulia kushiba japo sina kumbukumbu ni nani aliekuwa anashiba kabla ya mwenzake nafikiri wote ni sawa tu, ila nikijaribu kufikiria kiukweli kuna wanawake ambao wanakula sana na hiyo huwa haipendezi kwa kweli "Mungu niepushe na wanawake wanaokula sana kunizidi"
Kuna wanawake vijijini wakitoka kulima wanakula balaa
 
Back
Top Bottom