mkonomtupu
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 441
- 118
Nimeshazoea nikitoka kazini kama nitakuta umeme umekatika najua saa ngapi ni muda wa kurudi. Na kama nitaukuta umekatika pia najua ni saa ngapi utakuwa umerudi. Hivi sasa ni mzoea na nashangaa kwani leo toka nitoke kazini, mida ya saa kumi na moja mpaka sasa hawajakata umeme. Naota ama ni kweli hata sielewi. Pls Tanesco kateni bwana, tumezoea wenzenu tunasubiri ukirudi ili tushangilie