Vituka
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 2,257
- 1,247
****mamako!! Ni tusi lililo kwenye midomo ya watu wengi sana, wake kwa waume!Ivi mimi na wewe tumekoseana, kwa nini umtusi mama yangu?Icho unachokitukana kina uhusiana gani na ugomvi wetu?Someties hata sio ugomvi, mtu tu anataka kusifia kitu ila anaanza na *****mamako!Loh, jamani nakkerwa sana!
Jirekebishe wewe uliye na mazoea ya kutoa tusi hilo kwa wenzako!
Jirekebishe wewe uliye na mazoea ya kutoa tusi hilo kwa wenzako!