👇babu ukawekwe sawa basi utakua unasindikiza wenzio.
Nimeona hii comment itakuongezea maarifaKuna baadhi ya watu huamini kua mafanikio huweza kupatikana kupitia njia za ushirikina au kazi rahisi rahisi au kwa bahati nasibu. Ukweli ni kua mafanikio hupatikana kupitia muunganiko wa tabia, mtindo wa maisha na mtu husika anavyojituma katika kazi au biashara zake ili kufikia malengo. Sisi ....................... Hivyo tumeona ni vyema tukakumbushana na nyinyi ndugu zetu ili kwa wale wenye ndoto za kumiliki biashara kubwa waweze kupata mwanga wa kufikia ndoto zao, wale wanaofanya kazi waweze kufany kazi zao kwa weredi na kupanda madaraja, na wale waliokwisha fanikiwa basi tuwakumbuhse haya ili waendelee kufanikiwa.
Msome huyu ndugu👇 zaidi ingia hapa: Tujuzane kidogo, Uchawi una nafasi gani katika biasharaNi kweli mkuu ila kumbuka pia roho mbaya zipo pale unapopiga hatua. Na nia yao zikurudishe nyuma tu.
Kaka,
1. Mtegemee Mwenyezi Mungu. Yeye ndio amekuumba wewe na ndio pekee wa kukuongoza kwenye mafanikio.
2. Hangaika. Waarabu wana msemo wao, "Manijtahada, Wajada" yaani mwenye kujitahidi hufanikiwa. Kama unaona hupati mafanikio ongeza jitihada na tafuta marafiki waliofanikiwa wakusaidie kimawazo.
3. 10X biashara yako. Kama unafanya biashara ambayo watu wengine wanafanya. Jiulize swali lifuatayo, "Nifanye kitu gani niwe bora Mara 10 kuliko washindani wangu?". Ukishapata jibu fanya hivyo.
Uchawi upo lakini haina nguvu kama unavyofikiria. Ingekuwa inayo basi kwa uchawi wetu wakiTanzania tungekuwa tushashinda Africa Cup. Ajabu nikuwa hata kuingia hatuingia.
Focus kwenye kuchapa kazi na achana na mambo haya. Yatakuumiza kichwa na kuuwa malengo yako.
Good Luck!
NDIO MZEEIla yana kaukweli fulani hivi
WASIOAMINIAlafu bado wapo wanaosema sio kweli
Kuna ukweli apa mkuu. Naungana na weweUnajua mtu mweusi ndipo mahali anafeli, ana unafiki
MWINGI, hayo makampuni makubwa duniani kuanzia Apple, Toyota, Nissan, sijui nininini rafiki yangu msingi wa mafanikio yake ni uimara wa nguvu za kiroho...
Mtu mweusi ni mnafiki, hivi umewahi kuona nyumba za ibada wakikemea uchawi na wachawi?
Lakini kila siku wanajifanya kupondea waganga, na waganga wanafahamika, na huko kwenye nyumba za ibada ndo wachawi wamejazana huko...
Biashara yoyote ifanikiwe unahitaji
UIMARA WA NGUVU ZA KIROHO, sasa kazi kwako Swala 5, kufunga na kuomba ama mila, utaamua mwenyewe...
Kuna kaukweli ndani yakeNimekua nikipata maoni ya watu mbalimbali kua ukianza biashara iwe kubwa au ndogo bila kwenda kwa babu ukawekwe sawa basi utakua unasindikiza wenzio. Naombeni maoni yenu wana JF maana tupo na maswali mengi kichwani yasiyo na majibu.
DuhNkupa fomula kama utaamua kumtegemea mungu basi simama mpaka matendo yaani unafanya biashara ila uwe upande wa mungu uache tabia zisizompendezea mungu mfano acha kudhulumu watu ,uzinzi ,utapeli ,dharau , na kufanya mambo kama kusaidia watu maana hata hii washirikina wanafnya hapo ukizingatia hayo kuanguka ni nandra sana still kweli unaimani na matendo thabiti then fanya biashara yako
ila kama una unafiki kweny matendo we tumia nduma wala usijitusu kujifanya unamtegemea mungu ili hali una unafiki kwa mbali kama unabisha tafuta mtu anajifanya ana dini then ana matendo ya ovyo halafu angalia biashara zake kama hatumii ndumba zinakufa
my point izo ni njia mbili wengine walishakuwa huko kweny dumba hata mungu hawamtegemei na wanazidi kufanya maovu kama kmtukuza shetani kama kuua n biashara zao zinaenda hawa sio wanafiki wako kwa shetani kuanguka ni nadra sana
we chagua izo pande mkuu
Yaani we jamaa bhana,umeleta uzi wako huku tayari kichwani unaamini unavyoamini...ndio maana comments zote zinazosema kuhusu juhudi huziungi mkono...lolMkuu njoo Dm tuyajenge
Wala sio kwamba siungi mkono ila nataka story kidogo nipate somo kwa jamaa maana ishu zake zinafanana za zangu kabisa.Yaani we jamaa bhana,umeleta uzi wako huku tayari kichwani unaamini unavyoamini...ndio maana comments zote zinazosema kuhusu juhudi huziungi mkono...lol
Una ushaidi wa haya ?Unaenda kwa mganga yuko hoi na maisha yake kijijini
Unamwambia eti unataka utajiri ankuambia kauwe ndugu unakubali
Anakupa na vitu vya kujipaka unakubali kwa uzezeta wako
La mwisho anakuambia fungua duka mapema na ufunge wa mwisho kumbe huo ndio Uchawi mengine mbwembwe
Na we fala kauwe sasa